Jopo la Wanasheria 10 kuwaburuza kortini wanaotumia lugha ya matusi katika mjadala wa Bandari

Jopo la Wanasheria 10 kuwaburuza kortini wanaotumia lugha ya matusi katika mjadala wa Bandari

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Jopo la wanasheria 10 Wakujitegemee kwenda Mahakamani kuomba kufungua kesi binafsi



Juma Nasoro kuongoza jopo la wanasheria 10 wakujitegemea akiwemo wakili msomi Yahya Njama, wakili Abdulfataha Abdallah, wakili Hussein Hitu, wakili Salim Abubakar, Wakili Daimu Khalfani kuomba mahakama iwape ruhusa wafungue kesi binafsi kwa ajili ya uzalendo walionao kuwadhibiti wanaotumia lugha ya matusi, uchochezi, ubaguzi yule mwarabu, huyu mchina au wale mzungu, dini katika mjadala wa bandari na kwanini anapokuja mwarabu ipo shida wakati wachina na wazungu wanaendesha miradi

Na kuongeza wanasheria hao wanaangalia pia uwezekano wa kuiomba mahakama imuamuru DPP mwendesha mashtaka mkuu wa serikali afungue mashtaka dhidi ya wale wanaotumia matusi

Wanasheria hao wanasema DP World ya Dubai haijawahi kuwa na matatizo au mgogoro na Falme za Kiarabu - UAE katika kuendesha miradi sehemu zingine za dunia kwanini hapa Tanzania wana hofu ...
 
Jopo la wanasheria 10 Wakujitegemee kwenda Mahakamani kuomba kufungua kesi binafsi



Juma Nasoro kuongoza jopo la wanasheria 10 wakujitegemea kuomba mahakama iwape ruhusa wafungue kesi binafsi kwa ajili ya uzalendo walionao kuwadhibiti wanaotumia lugha ya matusi, uchochezi, ubaguzi yule mwarabu, huyu mchina au wale mzungu, dini katika mjadala wa bandari na kwanini anapokuja mwarabu ipo shida wakati wachina na wazungu wanaendesha miradi

Na kuongeza wanasheria hao wanaangalia pia uwezekano wa kuiomba mahakama imuamuru DPP mwendesha mashtaka mkuu wa serikali afungue mashtaka dhidi ya wale wanaotumia matusi

Wanasheria hao wanasema DP World ya Dubai haijawahi kuwa na matatizo au mgogoro na Falme za Kiarabu - UAE katika kuendesha miradi sehemu zingine za dunia kwanini hapa Tanzania wana hofu ...
Is political speech banned in Tanzania?
 
Jopo la wanasheria 10 Wakujitegemee kwenda Mahakamani kuomba kufungua kesi binafsi



Juma Nasoro kuongoza jopo la wanasheria 10 wakujitegemea kuomba mahakama iwape ruhusa wafungue kesi binafsi kwa ajili ya uzalendo walionao kuwadhibiti wanaotumia lugha ya matusi, uchochezi, ubaguzi yule mwarabu, huyu mchina au wale mzungu, dini katika mjadala wa bandari na kwanini anapokuja mwarabu ipo shida wakati wachina na wazungu wanaendesha miradi

Na kuongeza wanasheria hao wanaangalia pia uwezekano wa kuiomba mahakama imuamuru DPP mwendesha mashtaka mkuu wa serikali afungue mashtaka dhidi ya wale wanaotumia matusi

Wanasheria hao wanasema DP World ya Dubai haijawahi kuwa na matatizo au mgogoro na Falme za Kiarabu - UAE katika kuendesha miradi sehemu zingine za dunia kwanini hapa Tanzania wana hofu ...

Kwani mikataba walioingia uko inje inafanana na wa kwetu,au wa kwetu tumepigwa zaidi?
 
DAKIKA 24 ZA JOPO LA MAWAKILI WA KUJITEGEMEE WAKIFAFANUA KWA UREFU HOJA ZAO ZA KISHERIA NA MANUFAA YA KIUCHUMI


Dakika 24 za hoja za wakili msomi kiongozi Juma Nasoro, wakili msomi Yahya Njama, wakili Abdulfatah Abdallah, wakili Hussein Hitu, wakili Salim Abubakar, Wakili Daimu Khalfani.

Jopo hilo lina mawakili wanaotambulika katika ngazi ya Mahakama Kuu na mahakama za chini. Na wanasisitiza kutumia elimu yao kufafanua masuala mbalimbali kuhusu uendeshaji na uendelezaji wa bandari ya Dar es Salaam.

Jopo hilo linasema wamepata kusikiliza kwa umakini hoja toka pande mbalimbali ikiwemo zile za maafisa wa serikali.

Jopo hilo linakwenda mbali na kujitetea kuelewa kwa ndani kuhusu mamlaka alizokasimiwa rais wa nchi kisheria na kikatiba.

Pia jopo hilo linasisitiza kuwa,mahakama, jamii na bunge jukumu lake kuu ni kuisaidia serikali kufanikisha na siyo kuikwamisha serikali katika mradi huu mkubwa mzito wenye manufaa kwa taifa

Jopo hilo linnaunga mkono utaratibu wa serikali kwenda bungeni kuomba ridhaa na kuruhusu mjadala mpana unaoendelea katika jamii

Jopo hilo la mawakili wasomi katika interview hii exclusive wanamulika maeneo waliyoita Upotoshwaji wa makusudi wa baadhi ya watu katika mjadala unaoendelea kwa takribani miezi mitatu sasa

Ukomo wa mkataba wa bandari upo wanasisitiza mawakili wa jopo hili la wasomi kwa kuwa kuna kipengele cha kuwa kama kutakuwepo kutokuelewana basi hapo ndipo utakuwa mwisho wa makubaliano na kwa maana hiyo mkataba huu sio wa milele imesisitiza taarifa waliyokuwa wakiisoma mawakili wasomi

Uhalali wa Dubai kuingia mkataba, jambo hilo halikatazwi na sheria yaani International law na kwa kuwa Falme za Kiarabu UAE imekuwa kimya kabisa haijatoa tamko au kulalamika Dubai kuingia mkataba na Tanzania. Hivyo bila kupiga kelele International law haingii.

Mfano upo hapa karibu nasi Zanzibar ilitaka kujiunga na Umoja wa Nchi za Kiislamu OIC na lakini serikali ya Tanzania haikunyamazia, ilipotoa tamko kupinga basi Zanzibar ilizuiliwa kujiunga na OIC kwa kufuatana na sheria za kimataifa.

Kuhusu DP World kumiliki ardhi ni kwamba TPA ndiyo mmiliki wa ardhi hivyo DP World haitamiliki ardhi moja kwa moja bali kampuni hiyo ya Dubai itatumia mgongo wa TPA mamlaka ya Bandari za Tanzania hivyo DP World haitomiliki ardhi.

Faida za mradi huu ni za kiuchumi economic benefits mzunguko mkubwa wa fedha kwani ndani ya miaka 10 tani zaidi ya milioni 50 zitapita bandari ya Dar es Salaam.

Mawakili wasomi wanaongeza kusema DP World watawekeza pia katika maeneo ya Processing zone bandari kavu, ugavi na kuongeza mizigo ya usafirishaji kupitia SGR reli mpya, TAZARA, malori ya mizigo ya masafa marefu ....
 
Jopo la wanasheria 10 Wakujitegemee kwenda Mahakamani kuomba kufungua kesi binafsi



Juma Nasoro kuongoza jopo la wanasheria 10 wakujitegemea akiwemo wakili msomi Yahya Njama, wakili Abdulfataha Abdallah, wakili Hussein Hitu, wakili Salim Abubakar, Wakili Daimu Khalfani kuomba mahakama iwape ruhusa wafungue kesi binafsi kwa ajili ya uzalendo walionao kuwadhibiti wanaotumia lugha ya matusi, uchochezi, ubaguzi yule mwarabu, huyu mchina au wale mzungu, dini katika mjadala wa bandari na kwanini anapokuja mwarabu ipo shida wakati wachina na wazungu wanaendesha miradi

Na kuongeza wanasheria hao wanaangalia pia uwezekano wa kuiomba mahakama imuamuru DPP mwendesha mashtaka mkuu wa serikali afungue mashtaka dhidi ya wale wanaotumia matusi

Wanasheria hao wanasema DP World ya Dubai haijawahi kuwa na matatizo au mgogoro na Falme za Kiarabu - UAE katika kuendesha miradi sehemu zingine za dunia kwanini hapa Tanzania wana hofu ...

Mashehe ubwabwa na sheria wapi na wapi?
 
Jopo la wanasheria 10 Wakujitegemee kwenda Mahakamani kuomba kufungua kesi binafsi



Juma Nasoro kuongoza jopo la wanasheria 10 wakujitegemea akiwemo wakili msomi Yahya Njama, wakili Abdulfataha Abdallah, wakili Hussein Hitu, wakili Salim Abubakar, Wakili Daimu Khalfani kuomba mahakama iwape ruhusa wafungue kesi binafsi kwa ajili ya uzalendo walionao kuwadhibiti wanaotumia lugha ya matusi, uchochezi, ubaguzi yule mwarabu, huyu mchina au wale mzungu, dini katika mjadala wa bandari na kwanini anapokuja mwarabu ipo shida wakati wachina na wazungu wanaendesha miradi

Na kuongeza wanasheria hao wanaangalia pia uwezekano wa kuiomba mahakama imuamuru DPP mwendesha mashtaka mkuu wa serikali afungue mashtaka dhidi ya wale wanaotumia matusi

Wanasheria hao wanasema DP World ya Dubai haijawahi kuwa na matatizo au mgogoro na Falme za Kiarabu - UAE katika kuendesha miradi sehemu zingine za dunia kwanini hapa Tanzania wana hofu ...
Hawa wote wajinga, akili wameziweka mfukoni.
 
Jopo la wanasheria 10 Wakujitegemee kwenda Mahakamani kuomba kufungua kesi binafsi



Juma Nasoro kuongoza jopo la wanasheria 10 wakujitegemea akiwemo wakili msomi Yahya Njama, wakili Abdulfataha Abdallah, wakili Hussein Hitu, wakili Salim Abubakar, Wakili Daimu Khalfani kuomba mahakama iwape ruhusa wafungue kesi binafsi kwa ajili ya uzalendo walionao kuwadhibiti wanaotumia lugha ya matusi, uchochezi, ubaguzi yule mwarabu, huyu mchina au wale mzungu, dini katika mjadala wa bandari na kwanini anapokuja mwarabu ipo shida wakati wachina na wazungu wanaendesha miradi

Na kuongeza wanasheria hao wanaangalia pia uwezekano wa kuiomba mahakama imuamuru DPP mwendesha mashtaka mkuu wa serikali afungue mashtaka dhidi ya wale wanaotumia matusi

Wanasheria hao wanasema DP World ya Dubai haijawahi kuwa na matatizo au mgogoro na Falme za Kiarabu - UAE katika kuendesha miradi sehemu zingine za dunia kwanini hapa Tanzania wana hofu ...

Mawskili wazawa wameunda jopo kumtetea mwekezaji aliyekuja na dubious contact

Inaleta tafakuri
 
Jopo la wanasheria 10 Wakujitegemee kwenda Mahakamani kuomba kufungua kesi binafsi



Juma Nasoro kuongoza jopo la wanasheria 10 wakujitegemea akiwemo wakili msomi Yahya Njama, wakili Abdulfataha Abdallah, wakili Hussein Hitu, wakili Salim Abubakar, Wakili Daimu Khalfani kuomba mahakama iwape ruhusa wafungue kesi binafsi kwa ajili ya uzalendo walionao kuwadhibiti wanaotumia lugha ya matusi, uchochezi, ubaguzi yule mwarabu, huyu mchina au wale mzungu, dini katika mjadala wa bandari na kwanini anapokuja mwarabu ipo shida wakati wachina na wazungu wanaendesha miradi

Na kuongeza wanasheria hao wanaangalia pia uwezekano wa kuiomba mahakama imuamuru DPP mwendesha mashtaka mkuu wa serikali afungue mashtaka dhidi ya wale wanaotumia matusi

Wanasheria hao wanasema DP World ya Dubai haijawahi kuwa na matatizo au mgogoro na Falme za Kiarabu - UAE katika kuendesha miradi sehemu zingine za dunia kwanini hapa Tanzania wana hofu ...

Mbona wote ni al-Qaeda
 
Back
Top Bottom