Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wanasiasa wenyewe wanasema mahakama haiko huru inapata maagizo kutoka juu sasa iweje Leo waitegemee kiasi kikubwa hivyo?Kuwa na uelewa wewe! Ona unavyozidi kumharibia kwa hili, eti mahakama za makufuli! Yeye hayupo juu ya sheria na anashtakika tu kama mimi na wewe! Kila heri wanasheria.
Kuna kijiji kinaitwa idako,Tukumbushane maana yake mkuu.
Awamu ya kwanza,ya pili,ya tatu na Nne hawajawahi kufanya Mkutano wa chama ikuluKweli wamebanwa na hapa kazi tu
Awamu zilizopita mbona hawakufanya hivyo!!
Awamu ya kwanza,ya pili,ya tatu na Nne hawajawahi kufanya Mkutano wa chama ikulu
Awamu hii imetia fora Kwa kufanya Mkutano huo ikulu
Ova
Mkuu hama nchi utakufa kwa vidonda vya tumbo kwa mawazoWalijaribu kumua Lissu....je watatuua watanzania wote tunakerwa na maigizo ya serikali ya awamu hii??
2020 chadema mtachukua nchi na nyinyi mtafanya mikutano yenu hapo na kwa vile hamna hata office hata mikutano ya vijana, wazee, kinamama hata watoto kama ipo ruksa na nyinyi muwaumize lumumba ila kwa sasa waacheni wapeteHata nami sikuipenda kabisa hiyo, I wish itokee kweli mana huu ni upumbavu wa hali ya juu kabisa hata kama kusoma siwezi lakini kwa hili hapana