Tetesi: Jopo la wanasheria kuwashtaki CCM Mahakamani kwa kufanya vikao vya chama Ikulu.

Tetesi: Jopo la wanasheria kuwashtaki CCM Mahakamani kwa kufanya vikao vya chama Ikulu.

sijui kama nao hawatofungiwa kuongea miezi mitatu.
 
Siasa ilizuiliwa ktk ofisi za serikali, na sehemu nyinginezo za wafanyakaxi xinazotambuliwa kisheria tangu 1992.JE VP RC WA KILI AU KTB MKUU MAJI NAO WAITISHE VIKAO VYAMA VYAO OFISINI KWAO? TUTII SHERIA BILS SHURUTI
 
Wasalam, tetesi zilizonifikia zinasema jopo la wanasheria wapo hatua za mwisho kuwafungulia kesi rais magufuli na ccm kwa kukiuka ibara ya 145 na 146 ya katiba ya mwaka 1977 kwa kufanyia vikao vya chama ikulu na kuinajisi white house. Pia wanatanabaisha kuwa kufanyia vikao vya cha kunakiuka sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992. Stay tuned.
Wanafungulia kesi Marekani au.Tunasubiri hukumu kama ni TZ.
 
Kama ni kweli , basi kwa sasa tumshukuru MUNGU, HATUNA WANASHERIA bali tuna genge LA WAHUNI !!
 
Me nimesikia kwamba mwnyekiti wa sisiyemu aliomba ukumbi wa mikutano kwa rais, basi akapewa.
Hii nchi inawezekana ni mali binafsi ya ccm ikulu siku hizi sio patakatifu tena
 
Hii kitu imekuwepo kabla hata hamjazaliwa.
Raisi (ambaye kwa sasa ni mwenyekiti wa chama tawala) ni kiongozi mkuu wa nchi. Ikulu ni kwake. Chama tawala ndio kimeshika hatamu, ndicho kinao mustakabali wa nchi. Chama kinashika dola na dola ndio chama. Kiongozi wa chama ndiye mwenye mamlaka ndani ya chama na dola. Ni nani basi atakaemzuia kufanya shughuli zake mahali anapopapenda yeye?

Siasa za chama ni siasa za dola. Sera za chama ndio sera za dola. Chama kinachoshika dola ni zaidi ya chama, ni taasisi. Kwa hiyo nchi inaongozwa na taasisi, na taasisi hiyo ipo chini ya mwenyekiti wa chama. Unataka Ikulu itenganishwe na dola? unataka Ikulu ibinafsishwe? Tambua ikulu ikibinafsishwa basi na nchi itakuwa imebinafsishwa.
Mikutano yake na wanachama wake ni huko chimwaga.

IKULU NI PATAKATIFU.

Chama cha siasa hakina na hakitakuwa na mustakabali wa taifa.

Mfalme Huhihuhi amenajisi nyumba inayoheshimiwa sana na wenye nchi.
 
Sio halali kwa ccm kufanyia vikao vyake ikulu, ndo maana inatakiwa m/kiti wa chama cha siasa asiwe rais ili kuondoa utata kama huu.

Ndo maana tunaona Magufuli anavikataza vyama vingine visifanye mikutano ya hadhara wakati yeye anafanya kwa kisingizio cha urais.!
 
wanatafuta kiki hao!! tangia TLS ilipomchagua mwasiasa LISSU Kuwangoza utafikiri wanashweria hawana la kufanya isipokuwa kupambana na Magufuli!! shame on you guys!!! mtpambana lakini hamtashinda !!! NYERERE ,MKAPA na JK WALIFANYIA VIKAO ikulu mbona hamkuanza ujinga wanamna hiyo!!natamani kuwatusi vibaya mno nyie wafrika heusi utafikiri mna roho nyeusi kama ngozi yenu
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Wasalam, tetesi zilizonifikia zinasema jopo la wanasheria wapo hatua za mwisho kuwafungulia kesi rais magufuli na ccm kwa kukiuka ibara ya 145 na 146 ya katiba ya mwaka 1977 kwa kufanyia vikao vya chama ikulu na kuinajisi white house. Pia wanatanabaisha kuwa kufanyia vikao vya cha kunakiuka sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992. Stay tuned.
hawa wamekosa kazi?
 
Wasalam, tetesi zilizonifikia zinasema jopo la wanasheria wapo hatua za mwisho kuwafungulia kesi rais magufuli na ccm kwa kukiuka ibara ya 145 na 146 ya katiba ya mwaka 1977 kwa kufanyia vikao vya chama ikulu na kuinajisi white house. Pia wanatanabaisha kuwa kufanyia vikao vya cha kunakiuka sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992. Stay tuned.
Bilashaka hai wanasheria watakuwa Zero. Cc twenye akili twajuwa nn kinaendelea. MAGU PIGA KAZ
 
Wasalam, tetesi zilizonifikia zinasema jopo la wanasheria wapo hatua za mwisho kuwafungulia kesi rais magufuli na ccm kwa kukiuka ibara ya 145 na 146 ya katiba ya mwaka 1977 kwa kufanyia vikao vya chama ikulu na kuinajisi white house. Pia wanatanabaisha kuwa kufanyia vikao vya cha kunakiuka sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992. Stay tuned.
Hao watakamatwa muda mchache kabla ya kufika viunga vya mahakama
 
Back
Top Bottom