Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwahiyo ku stick kwenye professional yako haina maana?Stick kwenye hoja acha mambo ya kijinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ku stick kwenye professional yako haina maana?Stick kwenye hoja acha mambo ya kijinga.
Acha ujinga km huwezi kudeal na hoja naomba acha kuniquote deal na watu wengine.Kwahiyo ku stick kwenye professional yako haina maana?
Siwezi kuwa na deal na mchimba njerembaAcha ujinga km huwezi kudeal na hoja naomba acha kuniquote deal na watu wengine.
Nani huyo anayeishitaki serikali ?Wasalam, tetesi zilizonifikia zinasema jopo la wanasheria wapo hatua za mwisho kuwafungulia kesi rais magufuli na ccm kwa kukiuka ibara ya 145 na 146 ya katiba ya mwaka 1977 kwa kufanyia vikao vya chama ikulu na kuinajisi white house. Pia wanatanabaisha kuwa kufanyia vikao vya cha kunakiuka sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992. Stay tuned.
Utakuwa una matatizo sio bure umekuwa unaniita mchimba njeremba sijui maana yake nini sijawahi kukushambulia personally hata siku moja ukiendelea nitakuripoti kwa uongozi wa forums sijaja humu kumuattack mtu wala kuattackiwa kila ninapotoa maoni yangu unakuja na hilo neno mchimba njeremba cjui ni kitu gani kwa miezi kadhaa sasa unafanya hivyo am real pissed off this is the last warning you persist I report you.Siwezi kuwa na deal na mchimba njeremba
Teeeeeeeeeeeeh teeeeeeeeeeh teeeeeeeeeeh teeeeeeeeeh wacha mkwara wako wa gaikwadiUtakuwa una matatizo sio bure umekuwa unaniita mchimba njeremba sijui maana yake nini sijawahi kukushambulia personally hata siku moja ukiendelea nitakuripoti kwa uongozi wa forums sijaja humu kumuattack mtu wala kuattackiwa kila ninapotoa maoni yangu unakuja na hilo neno mchimba njeremba cjui ni kitu gani kwa miezi kadhaa sasa unafanya hivyo am real pissed off this is the last warning you persist I report you.
Hakuna marinda yaliyo salia
SerikaliHivi Rais anashitakiwa?
Nchi hii itakombolewa na wanasheria, nawaza kwa sauti!
Swali zuri sana hiliHiyo kesi itafunguliwa kwenye mahakama za makufuli au mahakama za wapi
Rais anashtakiwaje? Katiba inampa kinga ya kutoshtakiwaWasalam, tetesi zilizonifikia zinasema jopo la wanasheria wapo hatua za mwisho kuwafungulia kesi rais magufuli na ccm kwa kukiuka ibara ya 145 na 146 ya katiba ya mwaka 1977 kwa kufanyia vikao vya chama ikulu na kuinajisi white house. Pia wanatanabaisha kuwa kufanyia vikao vya cha kunakiuka sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992. Stay tuned.
Ni wakati gani Magufuli sio Rais?Wa kupelekwa mahakamani ni mwenyekiti wa ccm taifa si rais!
Basi hawakukubaliana kumbeSidhani, juzi tu walikubaliana kugoma kwenda mahakamani baada ya ofisi za mwanasheria mwenzao kuchomwa moto wakagoma kugoma!!!!!!