Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hakuna marinda yaliyo saliaKweli wamebanwa na hapa kazi tu
Awamu zilizopita mbona hawakufanya hivyo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna marinda yaliyo saliaKweli wamebanwa na hapa kazi tu
Awamu zilizopita mbona hawakufanya hivyo!!
Ashakwambia kuwa ikulu ni kwakeSizonje ananajisi IKULU yetu
DuAshakwambia kuwa ikulu ni kwake
Wewe akili yako inakutosha kwenda kuchimba njeremba na kubabua mapanyaTatizo wanasiasa wenyewe wanasema mahakama haiko huru inapata maagizo kutoka juu sasa iweje Leo waitegemee kiasi kikubwa hivyo?
masikini,Lissu Mungu akuponye haraka uje ututetee wanyonge wako,wakati uko ICU,uchwara ameigeuza ikulu kuwa pango la walanguzi,najua ungekwepo ungeshaitisha press conference kutupa ufafanuzi juu ya ccm kufanya vikao vya chama ikuluhaha hao ni wasaka umaarufu tu. na mabush lawyer. hakuna mwanasheria mweledi atakayepoteza muda wake muhimu kufungua kesi za kitoto kama hizo.
Sawa lakini mkuu nimepata LIKE mpaka sasa 50!Akili za ki-gombe
Walikuwa wanawashwa, kufanyia vikao ikulu wametoa hamu yao.Awamu ya kwanza,ya pili,ya tatu na Nne hawajawahi kufanya Mkutano wa chama ikulu
Awamu hii imetia fora Kwa kufanya Mkutano huo ikulu
Ova
Nawapa dole la kati wote waliofanya kikao cha chama chao kibovu ikulu.Mkuu hama nchi utakufa kwa vidonda vya tumbo kwa mawazo
Mmh! Tafadhali kamanda...Fanya utafiti kidogo mkuu. Usijivue nguo hadharani kama Wanaharakati.Awamu ya kwanza,ya pili,ya tatu na Nne hawajawahi kufanya Mkutano wa chama ikulu
Awamu hii imetia fora Kwa kufanya Mkutano huo ikulu
Ova
NGOJA TUONE KAMA MTAWEZA KUFANYA HIVYO. VYAMA PINZANI KWA KUKURU KAKARA HAWAJAMBOWasalam, tetesi zilizonifikia zinasema jopo la wanasheria wapo hatua za mwisho kuwafungulia kesi rais magufuli na ccm kwa kukiuka ibara ya 145 na 146 ya katiba ya mwaka 1977 kwa kufanyia vikao vya chama ikulu na kuinajisi white house. Pia wanatanabaisha kuwa kufanyia vikao vya cha kunakiuka sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992. Stay tuned.
Stick kwenye hoja acha mambo ya kijinga.Wewe akili yako inakutosha kwenda kuchimba njeremba na kubabua mapanya