Jopo la Wanasheria wa Afrika Kusini wameiheshimisha Afrika, ni aibu kwa mataifa yanayojinasibisha kutetea haki

Sema waarabu wakati mwingine watu wa hivyo sana. Huwezi sikia muarabu anaandamana kisa haki ya muafrika
 
Wangeanza na Al bshiri WA Sudan kuwaua waafrika weusi Darfur kupitia kundi lake la kigaidi la janjaweed,wakitoka hapo waishtaki ufaransa kwa kumuua Gadaff hapo wangetuheshimisha,Kisha wamalize kwa madikteta wa Africa.
 
Licha ya mnavyodai kuwa south afrika anapigania haki ya palestina bado anaongozwa na chuki za kipumbavu
 
Baba wa Taifa lao aliwaambia South Africa haitakuwa huru kama Palestina haitokuwa huru.

Hakuwambia Sudan wala Congo! Acha wapiganie wanachokiamini nawewe isihi serikali yako ya Tanzania ianze kudeal na haya ya Sudan na Congo
 
Sema waarabu wakati mwingine watu wa hivyo sana. Huwezi sikia muarabu anaandamana kisa haki ya muafrika
Africa South of sahara has nothing in common to do with Africa North of Sahara! Hivyo wao wanajinasibu sana na wazungu na waarabu na siyo waafrika/weusi!
 
Huyo Adilla
 
Wangeanza na Al bshiri WA Sudan kuwaua waafrika weusi Darfur kupitia kundi lake la kigaidi la janjaweed,wakitoka hapo waishtaki ufaransa kwa kumuua Gadaff hapo wangetuheshimisha,Kisha wamalize kwa madikteta wa Africa.
Wameanza na Israel, wewe unaweza kuendelea na Sudan na France.
 


1. Mkuu kuna wanaoitwa wavaa kobazi aka wavaa vipedo wangapi kwenye hiyo orodha?

2. Bahati mbaya sana wenzetu waking'ara sisi nchi imesheheni vijana wa hovyo:

Bei za mafuta juu, vita vikisambaa mashariki ya kati

3. Hapo #2, kama manyani tu wenye kushangilia miti kuungua.
 
Hao hawapendi haki isipokuwa wanapenda attention, Kama ni wapenda haki wangeanzia nyumbani Africa Kuna mengi yanahitaji kusemewa na wapo kimya. Binafsi nawaona Kama mbwa Koko tu.
Hizo ni fikra zako kama wewe unaona mtu anayepinga mauaji ya kimbari ni kutafuta attetion na hapendi haki basi acha sisi tuwaunge mkono South Africa wanaopinga haya mauaji.

ISRAEL imeua raia 23,210+ wa Palestina (ukiukaji wa Kifungu cha 2A cha mkataba wa Mauaji ya Kimbari) - 70% kati yao ni wanawake na watoto. Wanalenga raia kimakusudi - hata wale wanaoishi ISRAELI walitangaza "maeneo salama."

ISRAEL imeleta madhara makubwa ya mwili kwa raia (ukiukaji wa Kifungu cha 2B cha mkataba wa Mauaji ya Kimbari) - 60,000+ wamejeruhiwa.

ISRAEL imeweka kwa makusudi masharti katika Gaza ambayo hayawezi kuendeleza maisha. Wamehamisha 85% ya Gaza kwa nguvu, wamekufa njaa 93% ya Wagaza, WAMEHARIBU miundombinu ya matibabu, maji na usafi wa mazingira na kusawazisha mamia ya maelfu ya makazi ya raia.

Unyanyasaji wa uzazi wa Israeli huko Gaza unazuia kuzaliwa kwa Wapalestina (ukiukaji wa kifungu cha 2D cha Mkataba wa Mauaji ya Kimbari). Wanazuia utoaji wa vifaa muhimu vya matibabu huko Gaza kwa wanawake 180 wanaojifungua kila siku huko Gaza. Pia wameharibu miundombinu ya afya ya Gaza.
 
Kufungua kesi hakujawahi kuwa ushujaa.
Vyovyote mtakavyoona lakini South Africa kaonyesha uthubutu kufungua kesi dhidi ya magaidi wa Israel.

Huwezi kuuwa waandishi wa habari kama hivi kisha unasema unapambana na Hamas.

Majina ya waandishi wa habari wa Kipalestina waliouawa na Israel wakati wa mauaji ya kimbari huko Gaza, iwe kwa kupigwa mabomu au kufyatuliwa risasi.

1. Mohammad Al-Salehi
2. Ibrahim Lafi
3. Mohammad Jarghoun
4. Asaad Shamlakh
5. Said Al-Tawiil
6. Hisham Al-Nawajha
7. Mohammad Abu Rizq
8. Ayed Al-Najjar
9. Mohammad Abu Matar
10. Rajab Al-Naqeeb
11. Ahmad Shahab
12. Abdel Rahman Shahab
13. Hossam Mubarak
14. Hani Al-Madhoun
15. Essam Bahar
16. Mohammad Balousha
17. Abdel Hadi Habib
18. Ali Nasman
19. Anas Abu Shamala
20. Sameeh Al-Nadi
21. Khalil Abu Aadra
22. Mahmoud Abu Dhriefa
23. Mohammad Ali
24. Iman Al-Aqili
25. Mohammad Labad
26. Mohammad Al-Shourbaji
27. Rashdi Al-Sarraj
28. Mohammad Al-Hasani
29. Saed Halabi
30. Jamal Al-Faqawi
31. Ahmad Abu Mahadi
32. Yasser Abu Namus
33. Salma Mukhaimar
34. Du ́aa Sharaf
35. Salam Maimeh
36. Majed Kashko
37. Emad Al-Wahidi
38. Hudhaifa Al-Najjar
39. Nazmi Al-Nadeem
40. Majd Arandas
41. Iyad Matar
42. Mohammad Al-Biyari
43. Mohammad Abu Hatib
44. Zahir Al-Afghani
45. Mustafa Al-Naqeeb
46. Haitham Harara
47. Mohammad Al-Ghajja
48. Yahya Abu Munia
49. Mohammad Abu Husseira
50. Mahmoud Matar
51. Ahmad Al-Qara
52. Musa Al-Barsh
53. Ahmad Fatima
54. Yacoub Al-Barsh
55. Amro Abu Hayya
56. Mustafa Al-Sawaf
57. Abdel Halim Awad
58. Sari Mansour
59. Hassouna Islime
60. Bilal Jadallah
61. Alaa Al-Nimer
62. Ayat Khadhura
63. Mohammad Al-Ziq
64. Asim Al-Barsh
65. Mohammad Ayash
66. Mustafa Bakir
67. Amal Zahed
68. Musab Ashour
69. Nader Al-Nazli
70. Jamal Haniya
71. Abdullah Darwish
72. Montaser Al-Sawaf
73. Marwan Al-Sawaf
74. Adham Hassouna
75. Mohammad Farajallah
76. Hudhaifa Lulu
77. Hassan Farajallah
78. Shaimaa Al-Jazar
79. Mahmoud Salem
80. Abdel Hamid Al-Qurainawi
81. Hamada Al-Yazji
82. Hossam Ammar
83. Ola Ata Allah
84. Du ́aa Al-Jabour
85. Nermin Qawas
86. Mohammad Abu Samra
87. Abdel Karim Ouda
88. Ahmad Abu Abseh
89. Hanan Ayyad
90. Samer Abu Daqa
91. Rami Bdeir
92. Assem Kamal Mousa
93. Ali Ashour
94. Mashal Shahwan
95. Haneen Al-Qatshan
96. Abdullah Alwan
97. Adel Zarab
98. Alaa Abu Maamar
99. Mohammad Khalifa
100. Mohammad Abu Howaidi
101. Ahmad Jamal Al-Madhoun
102. Mohammad Abdel Khaleq Al-Af
103. Mohammad Younis Al-Zaitounia
104. Mohammad Khair Al-Din
105. Ahmad Khair Al-Din
106. Jaber Abu Hadrous
107. Akram Al-Shafei
108. Hamza Wael Al-Dahdouh
109. Mustafa Thraya
110. Ali Salem Abu Ajwa
111. Abdullah Iyad Breis
112. Ahmad Bdeir
113. Heba Al-Abadla
114. Sherif Okasha
115. Fouad Abu Khamash
 
iIT IS DIFFICULT TO PROVE GENOCIDE PARTICULARLY UNAPOSHAMBULIWA KAMA Hamas ilivyofanya
🚨🇿🇦🇮🇱 KESI YA ICJ - AFRIKA KUSINI: ISRAEL YALENGA NYUMBA ZA FAMILIA | 1% IDADI YA WATU WAMEUAWA, 25% WAMEJERUHIWA

"Pia kuna mtindo wa wazi wa tabia ya kulenga nyumba za familia na miundombinu ya kiraia, kuharibu maeneo makubwa ya Gaza.

Kupigwa risasi kwa wanaume, wanawake na watoto mahali walipo, uharibifu wa miundombinu ya afya na ukosefu wa msaada wa kibinadamu, kiasi kwamba tunaposimama leo 1% ya idadi ya Wapalestina huko Gaza imeharibiwa kwa utaratibu, na mmoja kati ya wanne. binamu wamejeruhiwa tangu Oktoba saba.

Mambo haya mawili pekee yana uwezo wa kudhihirisha dhamira ya Israel ya mauaji ya halaiki kuhusiana na wakazi wote au sehemu ya Wapalestina huko Gaza."
 
Tatizo ni Hawa wanaopigana na idf ndiko shida ilipoanzia sisi tunaangalia tumeangukia wapi badala ya wapi tulijikwaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…