Aliponzwa na mdomo wake,Lissu mdomo wake hauna break,nawwza sema ndio mtanzania pekee asiyeogopa mtu kwa kizazi hikiKisa
Hakushiriki IPASAVYO mauaji!!?
LAKINI huyu lisu!!!?
Aliifanya Nini jamuhuri hadi Baraka za shambulizi lake likafanyika!!?
Aliponzwa na waliomtuma!?!?!?
Acha ibaki ivo ivo!
Wewe Mdukuzi mimba uliyodungwa Magufuli itakuuwa kula malimao mengi sana. Utamtukana sana Magufuli lakini utatumia sana miradi yake.
Hapo Dar ni wapi nitapata kitabu hiki?Kuna mahali kwenye kitabu Cha Mario puzzo "the Godfather" inasema "to every big fortune there's crime". Ieleweke hivyo tu
Asee dar sifahamu maana sio mwenyeji... Ila Mimi kitabu nilikinunua dodoma duka lao liko pale shoppers njia kama ya kuelekea udomHapo Dar ni wapi nitapata kitabu hiki?
Kaki download @pdfdrive.com ni freeHapo Dar ni wapi nitapata kitabu hiki?
Hi! Nime download lkn analeta exe fiole akisema nifanye Installation. Naofia isijekuwa KIRUSI. Kwani wewe ilikuja exe AMAKaki download @pdfdrive.com ni free
Alitumia pesa zake binafsi kiasi gani katika hiyo miradi yake?Wewe Mdukuzi mimba uliyodungwa Magufuli itakuuwa kula malimao mengi sana. Utamtukana sana Magufuli lakini utatumia sana miradi yake.
Yeye na Waziri wa afya wakati huo waliratibu matibabu na usafiri wa Lissu kuruka kwenda NBI kwa kibali maalum toka Airport Dodoma usiku - Mwenda alichukia saaana.Tarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma
October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.
Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.
Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.
Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.
Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.
Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.
Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
Hakutii agizo la kuhakikisha Lissu anakufa, akiwa mkuu wa kamati ya ulinzi alizubaa vipi mpaka Lissu akasafirishwa. Na kama angekufa gunia la mavi angebebeshwa Mbowe, ulishaanza mkakati huo ila kwa bahati nzuri Lissu hakufa na anajua alianza kuwindwa kitambo pia alisharipoti polisi kuwa anafuatiwa na watu abaowatilia shaka japo polisi haikujali ni kama ilikuwemo kwenye hiyo mission ya kumuua.Tarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma
October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.
Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.
Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.
Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.
Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.
Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.
Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
Ww ndio Rugimbana mwenyewe. Umechomekea fleshi kwamba Mwalimu alikulea. Wabongo mna akili sanaTarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma
October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.
Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.
Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.
Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.
Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.
Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.
Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
Mungu ni mwema sana aiseeHakutii agizo la kuhakikisha Lissu anakufa, akiwa mkuu wa kamati ya ulinzi alizubaa vipi mpaka Lissu akasafirishwa. Na kama angekufa gunia la mavi angebebeshwa Mbowe, ulishaanza mkakati huo ila kwa bahati nzuri Lissu hakufa na anajua alianza kuwindwa kitambo pia alisharipoti polisi kuwa anafuatiwa na watu abaowatilia shaka japo polisi haikujali ni kama ilikuwemo kwenye hiyo mission ya kumuua.
cha ajabu kavuta yeye kamwacha Lissu anahema.Mungu ni mwema sana aisee
Siku ya kufa Lissu ilikuwa bado haijafika,Mungu fundiYeye na Waziri wa afya wakati huo waliratibu matibabu na usafiri wa Lissu kuruka kwenda NBI kwa kibali maalum toka Airport Dodoma usiku - Mwenda alichukia saaana.
Mungu fundiHakutii agizo la kuhakikisha Lissu anakufa, akiwa mkuu wa kamati ya ulinzi alizubaa vipi mpaka Lissu akasafirishwa. Na kama angekufa gunia la mavi angebebeshwa Mbowe, ulishaanza mkakati huo ila kwa bahati nzuri Lissu hakufa na anajua alianza kuwindwa kitambo pia alisharipoti polisi kuwa anafuatiwa na watu abaowatilia shaka japo polisi haikujali ni kama ilikuwemo kwenye hiyo mission ya kumuua.
mungu fundi mwaisaaa....Siku ya kufa Lissu ilikuwa bado haijafika,Mungu fundi
Mungu fundi
Ok basi sawa.Mimi kapuku tu sijawahi kuwa hata balozi wa nyumba kumi
[emoji23]Apewe mzinga wake wa asali