Jordan Rugimbana alimkosea nini Hayati Magufuli?

Kisa
Hakushiriki IPASAVYO mauaji!!?

LAKINI huyu lisu!!!?

Aliifanya Nini jamuhuri hadi Baraka za shambulizi lake likafanyika!!?

Aliponzwa na waliomtuma!?!?!?

Acha ibaki ivo ivo!
Aliponzwa na mdomo wake,Lissu mdomo wake hauna break,nawwza sema ndio mtanzania pekee asiyeogopa mtu kwa kizazi hiki
 
Yeye na Waziri wa afya wakati huo waliratibu matibabu na usafiri wa Lissu kuruka kwenda NBI kwa kibali maalum toka Airport Dodoma usiku - Mwenda alichukia saaana.
 
Hakutii agizo la kuhakikisha Lissu anakufa, akiwa mkuu wa kamati ya ulinzi alizubaa vipi mpaka Lissu akasafirishwa. Na kama angekufa gunia la mavi angebebeshwa Mbowe, ulishaanza mkakati huo ila kwa bahati nzuri Lissu hakufa na anajua alianza kuwindwa kitambo pia alisharipoti polisi kuwa anafuatiwa na watu abaowatilia shaka japo polisi haikujali ni kama ilikuwemo kwenye hiyo mission ya kumuua.
 
Wewe Mdukuzi mimba uliyodungwa Magufuli itakuuwa kula malimao mengi sana. Utamtukana sana Magufuli lakini utatumia sana miradi yake.
 
Ww ndio Rugimbana mwenyewe. Umechomekea fleshi kwamba Mwalimu alikulea. Wabongo mna akili sana
 
Mungu ni mwema sana aisee
 
Yeye na Waziri wa afya wakati huo waliratibu matibabu na usafiri wa Lissu kuruka kwenda NBI kwa kibali maalum toka Airport Dodoma usiku - Mwenda alichukia saaana.
Siku ya kufa Lissu ilikuwa bado haijafika,Mungu fundi Mungu fundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…