lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Yeye na Waziri wa afya wakati huo waliratibu matibabu na usafiri wa Lissu kuruka kwenda NBI kwa kibali maalum toka Airport Dodoma usiku - Mwenda alichukia saaana.
Usimsahau pia Dr. Mpoki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye na Waziri wa afya wakati huo waliratibu matibabu na usafiri wa Lissu kuruka kwenda NBI kwa kibali maalum toka Airport Dodoma usiku - Mwenda alichukia saaana.
[emoji16][emoji16][emoji16]Ww ndio Rugimbana mwenyewe. Umechomekea fleshi kwamba Mwalimu alikulea. Wabongo mna akili sana
AsanteKaki download @pdfdrive.com ni free
KWELIAliponzwa na mdomo wake,Lissu mdomo wake hauna break,nawwza sema ndio mtanzania pekee asiyeogopa mtu kwa kizazi hiki
Aliweza kupasua jeneza alilonunua Dada yake kumzikia ndugu huyu hakuwa binadamu kabisaJikono Jandama alikuwa katili sana.
Aliweza kupasua jeneza alilonunua Dada yake kumzikia ndugu huyu hakuwa binadamu kabisa
Mkuu wa mkoa lazima apewe taarifa. Anaweza asijue ni nini kinaendelea kwa undani lakini ni lazima apewe taarifa kuwa kuna shughuli inafanyika hivyo wewe kausha.Nesi hawezi subr maelekezo lazima mission inapopangwa kabla ata hajaanza kila mtu anakuwa katika sekta yake tayar kutimiza lengo kuu la mission
Aliponzwa na mdomo wake,Lissu mdomo wake hauna break,nawwza sema ndio mtanzania pekee asiyeogopa mtu kwa kizazi hiki
Ile ilikuwa ni mision ya mauaji. Nadhani walikuwa wameambiwa hakikisheni anakufa kwa risasi nyingi kabisa. Lakini Mungu alivyo mkuu wakajikuta wanaweweseka na kushindwa kutimiza lengo. Na baada ya muda Magufuli ndiye anakufa.Sidhani kama walitegemea kama angefika hospitali akiwa hai. Hauwezi kufanya mission kama hiyo alafu watu wengi kiasi hicho wawe involved.
Kama kuna maelezo RC alipata itakuwa ni baada ya mambo kwenda mrama na jamaa kufikishwa hospitalini.
Siku ile sidhani kama kuna mtu yeyote angemsikiliza jiwe, wabunge wa CCM walilia machozi hadharani, yaani ni kama roho wa Mungu alishuka pale Dom, kila mtu alipambana kuokoa uhai ya Lissu.
Kama haijapangwa haijapangwa tu, hata ufanye nini.
Ile project ilianza miaka mingi sana nadhani kuna mkono wa mkapa au nyerere yeye alikuwa msimamiziRugimbana mtu smart sana, alikuwa kiongozi wa mbio za mwenge. Kabla ya kuwa DC Morogoro mjini tayari alikuwa na project na wafadhili wa China kule Chamanzi
Tarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma
October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.
Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.
Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.
Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.
Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.
Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.
Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
DahDodoma: Mahakama Kuu yamuachia huru Mwanachama wa CHADEMA aliyefungwa jela kwa miaka 30 kwa njama za Jerry Muro
Faraja Mathew , mwanachama wa Chadema aliyefungwa Jela kwa miaka 30 kutokana na Tuhuma za uongo za unyang'anyi alizotengenezewa na DC wa Ikungi Jerry Muro, alihukumiwa kifungo hicho na Mahakama ya Wilaya ya Ikungi huko Singida , Leo ameachiwa huru na Mahakama kuu kanda ya Dodoma. Faraja ...www.jamiiforums.com
Download app ya adobe readerHi! Nime download lkn analeta exe fiole akisema nifanye Installation. Naofia isijekuwa KIRUSI. Kwani wewe ilikuja exe AMA