Jordan Rugimbana alimkosea nini Hayati Magufuli?

Aliponzwa na mdomo wake,Lissu mdomo wake hauna break,nawwza sema ndio mtanzania pekee asiyeogopa mtu kwa kizazi hiki

..aliponzwa na ujasiri wake, na rekodi yake ya muda mrefu ya kusimamia ukweli.

..Watz wengi walikwisha salimu amri na kukubali kila hila na ulaghai wa Magufuli. Lissu alikataa ndio maana wakajaribu kumuua.
 
Ile ilikuwa ni mision ya mauaji. Nadhani walikuwa wameambiwa hakikisheni anakufa kwa risasi nyingi kabisa. Lakini Mungu alivyo mkuu wakajikuta wanaweweseka na kushindwa kutimiza lengo. Na baada ya muda Magufuli ndiye anakufa.
 
Rugimbana mtu smart sana, alikuwa kiongozi wa mbio za mwenge. Kabla ya kuwa DC Morogoro mjini tayari alikuwa na project na wafadhili wa China kule Chamanzi
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…