Jordan Rugimbana alimkosea nini Hayati Magufuli?

Rugimbana n mtu poa sana na kiongozi mwelewa, sema mwendazake alitaka sana kuabudiwa kuliko hata Mungu!
Bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi ukiwa umepiga magoti!
 
Ni heri kukaa kijiweni kwa amani kuliko kuwa ofisini ukiwa unanuka damu za watu.

Umemaliza kaka, vyeonvingine vinakuja na gundu. Hata kama hupati kitu bora utulie sehem yenye amani
 
Kwa tukio lile inatakiwa familia yake walipwe kisasi by any means.

Magufuri alikuwa shetani, mbwa yule
 

Nchi ina watu webgi wa kufanya hizo kazi, siyo lazima awe Rugimbana tu!
 
Swala la lisu na wengine kuokotwa kwenye viroba na kupotezewa kusiko julikana Ni Jambo baya Sana kuwahi kufanya na serekali , serekali ya jiwe ilikuwa inawajali Sana Rai wake ika swala la risasi za lisu na kuokotwa kwenye viroba watu Ni baya Sana imearibu mazuri yote ya magufuli kwangu .kila nikitaka kumsifia magu nikikumbuka masila yake roho inasononeka sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Swala la Johnson mwanyika kupewa ubunge nilikuwa Sina majibu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kisa
Hakushiriki IPASAVYO mauaji!!?

LAKINI huyu lisu!!!?

Aliifanya Nini jamuhuri hadi Baraka za shambulizi lake likafanyika!!?

Aliponzwa na waliomtuma!?!?!?

Acha ibaki ivo ivo!
Haikuwepo baraka ya Jamhuri bali chuki ya mtu mmoja ambaye kwa bahati mbaya alikalia kile kiti.
Ila Mungu alivyo mkuu, hata wangetumia kifaru cha jeshi wasingefanikiwa uovu wao.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ni heri kukaa kijiweni kwa amani kuliko kuwa ofisini ukiwa unanuka damu za watu.
Ni kweli wakati mwingine. Hao watu sio kwamba wana furaha sana kama tunavyowaona kwa nje.
 
Aisee
 
Mwendakuzimu alitengeneza viongozi wa hovyo. Nakumbuka RC Gambo alikamata watu waliokuwa wakitoa rambirambi wakati wa ajali ya Lucky Vicent. Aliamrisha rambirambi zifuate utaratibu wake na sio unaenda moja kwa moja kwa wafiwa. Katika waliotiwa ndani walikuwepo viongozi wa dini.
 
Rejea operation ya kumuua Osama, president Obama anasema ilikuwa ni mission ya watu wachache sana hata chimbo alipokuwa si jeshi wala rais wa nchi aliyejua huo mpango.
Kuna risks za siri kuvuja, hata hizi opposition parties zina watu ndani ya system.
Linapokuja suala la plan B ndipo mambo ya kulazimisha na carelessness yanapotokea, simu za hovyohovyo ukichanganya na panic kwa kuwa mambo hayakwenda kama yalivyotarajiwa sasa inakuwa ni liwalo na liwe mpaka aliyekusudiwa kuuawa auliwe tu.
Jiwe alilikoroga sana pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…