José Eduardo dos Santos ni tajiri Dangote hafui dafu

José Eduardo dos Santos ni tajiri Dangote hafui dafu

Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi sasa mwili wake upo kwenye jokofu ktk jiji la Barcelona. Utajiri wake unatokana na mafuta pamoja na biashara za madini.

Je ni tajiri gani mwingine unaemsikia anapesa nyingi zaidi ya hawa akina dangote watoto wajuzi Kati.

Mimi naweka hawa hapa.

1.uhuru Kenyatta, hapa dongote cha mtoto

2.the Moi family

.. Weka wa kwako na wewe

View attachment 2293800
Dangote ni self made millionaire,huyo do Santos,ni mwizi kama walivyo ma Rais wengi wa Afrika,alipata ukwasi wake kwa kuiba mali ya umma.
 
Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi sasa mwili wake upo kwenye jokofu ktk jiji la Barcelona. Utajiri wake unatokana na mafuta pamoja na biashara za madini.

Je ni tajiri gani mwingine unaemsikia anapesa nyingi zaidi ya hawa akina dangote watoto wajuzi Kati.

Mimi naweka hawa hapa.

1.uhuru Kenyatta, hapa dongote cha mtoto

2.the Moi family

.. Weka wa kwako na wewe

View attachment 2293800
huna akili.
 
Huyu marehemu utajiri wake ulitokana na ufisadi kipindi akiwa raisi.

Inasemekana binti yake kwa sasa ndio mtu tajiri nambari moja Africa.

Hivyo hatuwezi linganganisha utajiri wake na dangote ambaye ni pure mfanyabiashra.
umenena vyema.
 
Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi sasa mwili wake upo kwenye jokofu ktk jiji la Barcelona. Utajiri wake unatokana na mafuta pamoja na biashara za madini.

Je ni tajiri gani mwingine unaemsikia anapesa nyingi zaidi ya hawa akina dangote watoto wajuzi Kati.

Mimi naweka hawa hapa.

1.uhuru Kenyatta, hapa dongote cha mtoto

2.the Moi family

.. Weka wa kwako na wewe

View attachment 2293800
Ana undugu na Neymar PSG?
 
Back
Top Bottom