Kuna mtoto wake mmoja ameng'ang'aniwa na washika dau ( yuko gerezani Angola)Familia yake wote wanahela mbayaa, kuanzia baba mpaka watoto wake..
Vipi kuhusu mwanae Isabella yule chotara? maana katika watoto wake huyo wa kike ndio ana ukwasi wa kufa mtuKuna mtoto wake mmoja ameng'ang'aniwa na washika dau ( yuko gerezani Angola)
Binti yake serikali ya Angola ishamfilisi hana huo utajiri.Huyu marehemu utajiri wake ulitokana na ufisadi kipindi akiwa raisi.
Inasemekana binti yake kwa sasa ndio mtu tajiri nambari moja Africa.
Hivyo hatuwezi linganganisha utajiri wake na dangote ambaye ni pure mfanyabiashra.
Serikali ya Angola ishamfilisi.Isabella ana hela kama mchanga....
Dangote ni self made millionaire,huyo do Santos,ni mwizi kama walivyo ma Rais wengi wa Afrika,alipata ukwasi wake kwa kuiba mali ya umma.Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi sasa mwili wake upo kwenye jokofu ktk jiji la Barcelona. Utajiri wake unatokana na mafuta pamoja na biashara za madini.
Je ni tajiri gani mwingine unaemsikia anapesa nyingi zaidi ya hawa akina dangote watoto wajuzi Kati.
Mimi naweka hawa hapa.
1.uhuru Kenyatta, hapa dongote cha mtoto
2.the Moi family
.. Weka wa kwako na wewe
View attachment 2293800
Asante MobetoSawa kidotii
Wamefilisi investments na cash iliyoko Angola lkn nje kawekeza sana sanaSerikali ya Angola ishamfilisi.
Huyo yupo huko Barcelona na Portugal kwa mama ake....anakula bata, pesa nyingi imechimbiwa ulaya huko....ila juzi Kati kafiwa na mume wake yule chotara wa kikongoVipi kuhusu mwanae Isabella yule chotara? maana katika watoto wake huyo wa kike ndio ana ukwasi wa kufa mtu
Mjanja na aliyajua yote hayoWamefilisi investments na cash iliyoko Angola lkn nje kawekeza sana sana
huna akili.Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi sasa mwili wake upo kwenye jokofu ktk jiji la Barcelona. Utajiri wake unatokana na mafuta pamoja na biashara za madini.
Je ni tajiri gani mwingine unaemsikia anapesa nyingi zaidi ya hawa akina dangote watoto wajuzi Kati.
Mimi naweka hawa hapa.
1.uhuru Kenyatta, hapa dongote cha mtoto
2.the Moi family
.. Weka wa kwako na wewe
View attachment 2293800
umenena vyema.Huyu marehemu utajiri wake ulitokana na ufisadi kipindi akiwa raisi.
Inasemekana binti yake kwa sasa ndio mtu tajiri nambari moja Africa.
Hivyo hatuwezi linganganisha utajiri wake na dangote ambaye ni pure mfanyabiashra.
Ana undugu na Neymar PSG?Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi sasa mwili wake upo kwenye jokofu ktk jiji la Barcelona. Utajiri wake unatokana na mafuta pamoja na biashara za madini.
Je ni tajiri gani mwingine unaemsikia anapesa nyingi zaidi ya hawa akina dangote watoto wajuzi Kati.
Mimi naweka hawa hapa.
1.uhuru Kenyatta, hapa dongote cha mtoto
2.the Moi family
.. Weka wa kwako na wewe
View attachment 2293800
Kwahiyo unajifanya hujui kuwa dos Santos alikua mwizi auMali gani alizoiba?, weka source za majarida na hukumu zilizotolewa mahakamani kuwa ni mwizi