Jamaa Kama anawaonea huruma Kama vipi aanzishe orodha yake ya matajiri wa Africa awaweke hao akina Dos Santos.Ndiyo ni masikini, kwa tafsiri ile ya masikini ni mtu aliyekufa…. Josè alishakufa.
Orodha ya matajiri unayopingana nayo haijamtambua huyo na majizi wenzake kwa sababu zao, unaweza kuanzisha orodha yako kama hivi.
Alikua anafanya biashara ipi mpka kua tajiri zaidi ya kukomba pesa kwenye hazina ya angolaMali gani alizoiba?, weka source za majarida na hukumu zilizotolewa mahakamani kuwa ni mwizi
Hii inanikumbusha yule jamaa aliyekuwa amekimbia nchi tangu jiwe achukue madaraka. Jamaa alirudi mwenyewe nchini baada ya mdogo wake kukamatwa kwa kesi ya ujangili na uhujumu uchumi. Janja Yote kwisha. Jiwe alikuwa mafia aisee!Kuna mtoto wake mmoja ameng'ang'aniwa na washika dau ( yuko gerezani Angola)
Hata huko nje, serikali ya Angola kwa msaada wa serikali za Ulaya na mabenki , wamefanikiwa kurudisha mabilioni ya Dollar waliyoficha huko.Wamefilisi investments na cash iliyoko Angola lkn nje kawekeza sana sana
Wewe ni mbishi ka muha....una uhakika hakuwa na ndoa halali?Isabela hajaolewa ndugu, acha kudanganya
Elewa hivyo. Kwenye rekodi ya kitajiri wanasiasa na wanaopata fedha zao nje ya utaratibu wa investiment pamoja na wale wa money laundry huwa hawatajwi.Mali gani alizoiba?, weka source za majarida na hukumu zilizotolewa mahakamani kuwa ni mwizi
Tafuta pesa na kumtukuza Mungu ili usitende dhambi katika kutafuta kwako pesa...Kwahiyo tusitafute pesa tukiogopa kufa
Mpaka sasa labda ningeuwawa au ningekuwa jelaUtajiri ni utajiri. Njia zilizotumika kuupata ndio tofauti. Chakarika uwe tajiri
Akikujibu uni tagAlikua anafanya biashara ipi mpka kua tajiri zaidi ya kukomba pesa kwenye hazina ya angola
Hopeless kabisa , na huyo ni tone katika bahari ,kuna manyangumi ya ufisadi WA kutisha Africa hii , Mali zao za wizi na fedha yanaficha nchi za nje ya Africa , nchi zote hapa Africa trend ni hiyo hiyo , with exception to Botswana labda .Hili Bara lisahau maendeleo au kuondokana na umasikini yaani unakuta 1% ya elites /leaders ndio wanatafuna nchi kama mchwa .Bara lina laana hili yani viongozi majizi yanaitwa matajiri?
Do Santos na Obama nani tajiri?Dangote ni self made millionaire,huyo do Santos,ni mwizi kama walivyo ma Rais wengi wa Afrika,alipata ukwasi wake kwa kuiba mali ya umma.
Ni moja ya matajiri wakubwa nchini Ureno, labda kama wamefilisi mali zake kwani hata moja ya TV stations kubwa huko Portugal anaimiliki(namzungumzia Isabella).Vipi kuhusu mwanae Isabella yule chotara? maana katika watoto wake huyo wa kike ndio ana ukwasi wa kufa mtu
Sawa ngoja nifatilieTafuta makala inaitwa "LUANDA LEAKS" ndio utagundua uchafu wa familia ya huyo raisi mstaafu wa Angola.
Wafilisi kwa lipi?Ni moja ya matajiri wakubwa nchini Ureno, labda kama wamefilisi mali zake kwani hata moja ya TV stations kubwa huko Portugal anaimiliki(namzungumzia Isabella).