Jose Morinho aanza kutambua kwamba bei ya Pogba alipigwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Niliwahi kuandika humu kwamba Paul Pogba si lolote si chochote, hawezi hata kufanana na Athuman China au Husein Masha, bei ile aliyouzwa mchezaji huyu ilikuwa ya kitapeli kabisa.

Kitendo cha Morinho mwenyewe kumtwanga benchi mchezaji huyu mbovu ni uthibitisho wa maandishi yangu.

Poleni sana wapenzi wa Man U kwa kuingizwa mkenge.
 
Inawezekana ana mzuka wa kutumia pesa ndefu......we angalia alionunua wooote kwa pesa ndefu akiwa Man Utd, nani imelipa? Amesababisha EPL imekuwa kama La liga, ligi ya timu moja au mbili tu!
 
Inawezekana ana mzuka wa kutumia pesa ndefu......we angalia alionunua wooote kwa pesa ndefu akiwa Man Utd, nani imelipa? Amesababisha EPL imekuwa kama La liga, ligi ya timu moja au mbili tu!
Hivi haweki mpunga wake ( cha juu ) kweli huyu jamani ?
 
Mapepo wekundu ni gundu kuu
 
Ndo maana Rais wa Barca alikataa ile pesa kwa mchezaji kama Pogba japo kwa mpira wa Pogba angefanya vyema sana kwa soka la Barca kuliko kuruka kamba kule EPL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…