Jose Morinho aanza kutambua kwamba bei ya Pogba alipigwa

Jose Morinho aanza kutambua kwamba bei ya Pogba alipigwa

Angalia pia alivyopigwa kwa Sanchez. Jamaa mpira sasa unagoma akipewa mpira wanamnyang'anya ile mipira juhudi zote kumbe Arsenal style yao ilikuwa inamwinua anaonekana bonge la mchezaji. Ona Miki tayari style ya Arsenal inavyompaisha. Juzi niliona Sanchez kila akipewa mpira haendi kokote ametolewa na kuingizwa kinda Rashford mpira ukafufuka
  1. Anthony Martial
    Man Utd
    142 per goal

    1279 played

    9Goals scored

    4 Assists


  2. Alexandre Lacazette
    Arsenal
    202 per goal

    1821 played

    9Goals scored

    3 Assists
 
Acha wapigwe tu maana CCM na man u ndyo walewale bei ya mtulia naya pogba hazina tofauti
 
Cha kike! HahAhaha
Pogba alipaishwa na maestro Andrea Pilo, Marchisio na Arturo Vidali. Sasa anakuja kucheza na kina Herera unategemea nini?

Kingine Mou uwezo umefika mwisho. Hamna namna inabidi apigwe tu....
 
Niliwahi kuandika humu kwamba Paul Pogba si lolote si chochote, hawezi hata kufanana na Athuman China au Husein Masha, bei ile aliyouzwa mchezaji huyu ilikuwa ya kitapeli kabisa.

Kitendo cha Morinho mwenyewe kumtwanga benchi mchezaji huyu mbovu ni uthibitisho wa maandishi yangu.

Poleni sana wapenzi wa Man U kwa kuingizwa mkenge.
Hakuwa na thamani ile special one alitutapeli sana alitakiwa kuwa segerea kwa ubadhilifu
 
Ushauri - Pogba atafute timu nyingine , leo tena katandikwa benchi !
 
Back
Top Bottom