This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Hakuna kitu km hicho. Hilo la kuvunja mkataba ni moja ya vipengele vya mkataba wa kazi.Rushwa anakula na viongozi wa Timu wanamwambia tunakufukuza kinyume Cha taratibu halafu buruza timu mahakamani ukishinda ukalipwa fidia tunagawana Hela kazoea huo mchezo .Wawakodi Takukuru wa Tanzania wako vizuri wakachunguze hilo swala
Takukuru wanaweza vizuri tu
Wawape tenda Takukuru
Unawaza kibongo sana