Rushwa anakula na viongozi wa Timu wanamwambia tunakufukuza kinyume Cha taratibu halafu buruza timu mahakamani ukishinda ukalipwa fidia tunagawana Hela kazoea huo mchezo .Wawakodi Takukuru wa Tanzania wako vizuri wakachunguze hilo swala
Takukuru wanaweza vizuri tu
Wawape tenda Takukuru