Jose Mourinho ni kocha mbovu anayebebwa na pesa za usajili

Na kwa taarifa tu kwa wale wasiojua.

Lucas Moura yule aliyewafunga Man U magoli mawili alikuwa aende Man U, lakini Ed Woodward kazingua.

Katika zile team kubwa msimu huu Man U na Arsenal ndio zenye wachezaji wenye uwezo mdogo individually ukilinganisha na timu zingine. Na hakika watapata tabu sana pamoja na mashabiki wao.
 
Alipokuwa anasajili magalasa kama Sanchez hamkuona ? halafu kama mabeki ni wabovu mbona hata magoli ya kuotea nayo hamupati ? hivi unadhani Man city ina wachezaji wazuri sana eeeee !
 
Nilitegemea: Pep Guardiola kocha mbovu anayebebwa na pesa za usajili.

Rekodi zipo wazi:
Barcelona alirithi kikosi kama Zidane alivyorithi Madrid

Bayern Munchen hili halina mjadala inafahamika Bayern ni nani bundesliga hata hivyo kashindwa kusonga UEFA.

Man City pesa za matajiri wa mafuta yeyote wanayemtaka wanampata. Pep alinunua kipa akaona hajiewi kampiga chini kanunua kipa mwingine.

Mou alimnunua Lindelof kamuona hajielewi lkn hana option ya kununua mwingine.

Just like that.
 
Pia ni muoga. Kama angeweza kutengeneza kikosi hiki cha Madrid kilichozeeka angekuwa ktk nafasi kubwa sana. Katika harakati za watu kujadili mrithi wa Mourinho jamaa wanasema yuko tactically limited.
Mm hadi sasa najiuliza, kama kweli Zidane ni kocha haswa nini kilichomtoa Real Madrid kama sio kutaka kulinda rekodi yake?
 
Mkuu rekodi za Mou za karibuni ziko vipi?
 
Mkuu rekodi za Mou za karibuni ziko vipi?
Tangu akiwa Man U kachukua Europa, Community, n sijui kikombe gani kingine. Huo ukiwa na msimu wa kwanza akisajili wachezaji watatu tu.

Msimu uliofuata akiwa Man U aliipeleka nafasi ya 2 kwenye ligi nyuma ya Man City. Kwa maneno mengine km isingekuwa Man City nadhani angechukua Kikombe.

Cha ajabu sasa ni hiki:
Klopp haandamwi japo hana hata kisahani, na timu yake ilimaliza nyuma ya Man U badala yake anaandamwa Mou aliyechukua vikombe na kupeleka timu nafasi ya pili, Pochettino haandamwi ambaye hata bakuli hana tangu akiwa spurs lkn anaandamwa Mou mwenye mafanikio kwa kila club aliyokwenda.

Binadamu ni wanafiki sana
 
Jamaa muoga tu. Mzee ndio atue Old Trafford na presha za Waingereza, atamudu kweli 🙂!?
Hawezi kuja hata kwa crane. Unadhani yeye hajielewi? Yaan aache Madrid bora zaidi ya Man U halafu ndo aje Man U thubutu.

Pia, watu wamesahau Spurs waliwasumbua sana Madrid Uefa, sasa km Zidane alikuwa na mbinu mbona alisumbuka na timu ya epl?
 
Alipokuwa anasajili magalasa kama Sanchez hamkuona ? halafu kama mabeki ni wabovu mbona hata magoli ya kuotea nayo hamupati ? hivi unadhani Man city ina wachezaji wazuri sana eeeee !
Rudi ktk siasa huku sio mahala pako hata pep kasajili magalasa wakina nolito anashindwa kuhojiwa kisa kombe subir akose

Mourinho alipokuwa akibeba makombe hiz thread zilikuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…