Mwambukusi agombee tu urais ili aje ayafunue yote haya mauza uza anayoyafanya huyu kizimkazi.akigombea ushindi ni 100% maana wananchi tunapenda Marais wapenda haki ambao chochote kinachotokea Cha kipumbavu achukue hatua
Mwambukusi agombee tu urais ili aje ayafunue yote haya mauza uza anayoyafanya huyu kizimkazi.akigombea ushindi ni 100% maana wananchi tunapenda Marais wapenda haki ambao chochote kinachotokea Cha kipumbavu achukue hatua
Unaleta story za Hitler kama reference leo. Umesahau mama alipowafokea mabalozi kuingilia mambo ya ndani,alivyojibiwa? Nyerere iliingilia mambo ya nchi ngapi? Nyerere alimsaidia Museveni kumng'oa Dikteta Idd Amin. Source Crown tv.