Pre GE2025 Joseph Haule 'Prof. Jay: Nitagombea Ubunge Mikumi 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
"Nina mpango wa kwenda jimboni Mikumi kugombea tena nafasi yangu ya ubunge. Wananchi wamekuwa na kilio kikubwa sana kwa sababu wanakosa uwakilishi. Wamekuwa wakinipigia simu wakiniombea
sana, wakiwa wanaamini mimi ni sauti yao, kwa sababu nilikuwa nikiwakilisha wananchi na si mimi mwenyewe na familia yangu." - Msanii Professor Jay
 
Hivi yule Mtulia na Aliyekuwa mbunge wa temeke akaja knunuliwa na dikteta Magu,walipotelea wapi,

Namshauri profesa Jay agombee kupitia ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…