t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Bima za serikal8 hata kile kifurushi cha bei ghali kabisa bado zina bandwidth,Hivi hizi BIMA za serikali zina cover gharama za pmagonjwa kama haya ya muda mrefu na gharama kubwa?
Mungu asimamie.
Inasemekana huyu jamaa kapata msaada wa mama samia