Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,029
- 3,520
Kuna Hili Dude lake Akiiasa Jamii kutowatenga walioathirika na virusi vya Ukimwi. Moja Kati ya Ngoma zake kali sana kuwahi kutokea Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siujui umri wako ila sisi tuliokua kwenye 80/90s hizo tulikuwa tunapewa bure.Sasa mtu kukosa pesa ya panadol wataka ilaumiwe serikali?
Wewe utakuwa mfanyakazi wa MNH au your colleague anafanya hapo...ila isiwe sababu ya kuweka bayana maradhi ya Mh.Joseph Haule....(Tuishie kwenye ETHICS- CONFIDENTIALITY)Roho chafu ikoje.Tunamshukuru Mungu kwa uponyaji kwa Prof.Ila kusema kuwa UKIMWI ndo ulimsumbua ,tatizo lipo wapi?
Wewe nawe,kila comment hata ambayo sikujibu wewe unaingilia tu.Acha wivu unajua kabisa mimi si Shetani.Idiot wewe.We utaishi milele na hautakufa sema Amen shetani mkubwa
Ungeweza kusema kauli hiyo kwa mtu yeyote unayempenda na kumthamini kama mama yako au dada yako , ?Wewe nawe,nilisema wapi ninafurahia?Nilisema now iam sure mme wangu yupo wapi.Sio kama zamani unaambiwa ninakwenda Mwanza,kumbe mtu yupo Serena hotel. Ninaongea facts.
Rudi hiyo miakaSiujui umri wako ila sisi tuliokua kwenye 80/90s hizo tulikuwa tunapewa bure.
Hakika MUNGU ni Mwema, miongoni mwa habari kubwa keo jioni ni picha ya Proj Jizzle ambayo imechukua takribani zaidi ya Siku 400 hajaonekana kwenye Mitandao ya Kijamii kutokana kuugua.
MUNGU ni Mwema Wakati wote[emoji120]View attachment 2607636
46 yrsAna umri gani huyu mzee wa mitulinga?
Nina uhakika sitapata Ukimwi. Nina imani hiyo,imani ni kuwa na hakika kwa mambo yatarajiwayo,ni.bayana kwa mambo yasiyoonekana.Sitakuja kupata HIV kamwe.Nitakufa siku moja nikiwa mzee ,ila si kwa UKIMWI.
Wewe nawe,kila comment hata ambayo sikujibu wewe unaingilia tu.Acha wivu unajua kabisa mimi si Shetani.Idiot wewe.
Asante sana mdogo wangu.Da Vic huwa nakupenda sana [emoji3059]
Utakufa siku moja ukiwa mzee una njia ya kuzuia ajali ila umenikumbusha kisa kimoja .Nina uhakika sitapata Ukimwi. Nina imani hiyo,imani ni kuwa na hakika kwa mambo yatarajiwayo,ni.bayana kwa mambo yasiyoonekana.Sitakuja kupata HIV kamwe.Nitakufa siku moja nikiwa mzee ,ila si kwa UKIMWI.
Hiyo ndo imani yangu,nitakufa nikiwa mzee .Bado nipo sana hapa duniani, sijafika hata nusu ya umri wangu ninaotakiwa kuishi hapa duniani.Utakufa siku moja ukiwa mzee una njia ya kuzuia ajali ila umenikumbusha kisa kimoja .
Maswali gani sasa hayo?Hata kwa mme wangu nisingeweza sema kama asingekuwa anadanganya alipo.Ungeweza kusema kauli hiyo kwa mtu yeyote unayempenda na kumthamini kama mama yako au dada yako , ?
Kwamba una uhakika mama au dada yako hatakusumbua tena mana una uhakika yupo kaburini?
Hao ni wengine!Yeye kakonda.Mbona wengine wanaumwa na hawakondi hivyo?
..mkuu nadhani unyanyapaa unasababishwa na sisi wenyewe kuona huu ugonjwa ni tofauti na magonjwa mengi tunayoumwa..hao waathirika zaidi ya 1.7miln ukiwaweka ni zaidi ya population ya mikoa miwili ya singida na kilimanjaro..ni watu wengi sana na wanaishi vizuri tu..pia hatar ya wao kufa ni ndogo sana kuliko magonjwa mengi ya hatar kama cancer,malaria,etc ambayo kwa mwaka yanaua ndugu zetu wengi kuliko ukimwi.Nachokiona kwa jamii yetu kuna watu bado wapo na tabia za unyanyapaaji ndio mana hata kama mtu ana hiyo shida wengi hawapendi kuweka wazi. Kwanza hakuna mwenye uhakika kama ni umeme kweli ama vipi na pia hata kama ni kweli si vyema kumtangaza kama mwenyewe hajataka iwe wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu123 Upo sahihi shida inaanzia kwetu wenyewe. Ni vizuri tubadilike haya yote hayatakuwepo...mkuu nadhani unyanyapaa unasababishwa na sisi wenyewe kuona huu ugonjwa ni tofauti na magonjwa mengi tunayoumwa..hao waathirika zaidi ya 1.7miln ukiwaweka ni zaidi ya population ya mikoa miwili ya singida na kilimanjaro..ni watu wengi sana na wanaishi vizuri tu..pia hatar ya wao kufa ni ndogo sana kuliko magonjwa mengi ya hatar kama cancer,malaria,etc ambayo kwa mwaka yanaua ndugu zetu wengi kuliko ukimwi.
..nafikiri huu uoga na labda usiri wenye unafiki kwa sisi watz tungeuacha na automatically ungesaidia kuondoa unyanyapaa na labda kushusha maambukizi sana..wanasema hakuna ukoo tz ambao haujapoteza ndugu au kuwa na ndugu mwenye ukimwi toka uingie tz sasa sijui usiri unatokana na nini?ugonjwa ni ugonjwa tu hakuna wenye hadhi au usio na hadhi!