Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Hawa ndio anaodhalilisha siasa na kitu cha spikaMbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Musukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
We don’t need lopolopo