Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kiakili siyoNi haki yake kikatiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiakili siyoNi haki yake kikatiba
Ni PhD holderKiakili siyo
Wewe tu na Kadi yakoHivi hakuna kiwango cha elimu katika kugombea uspika?
Hayo nikwazile nchi serious,uku kwetu bado tuna ubabaishaji mwingi.Bunge ni mhimili wa taifa, kiongozi ni lazima awe na upeo mkubwa hasa kielimu. Sijui kifungu cha katiba kinasemaje japo ni haki ya kila Mtanzania.
Open visa imemsaidia eeh?Kingereza kwa sasa kipo kile cha mbali alikuwa akipiga short course za kingereza na safari zake za nje zimemsaidia.
Exactly.Hivyo hata msukuma anaweza stahili.
Lakini unazani kuwa wenye shahada wote wanaweza kuwa bora kuzidi hawa wengine?Hiki kipengele "ujue kusoma na kuandika" kiondolewe, sasa ni ulimwengu wa sayansi na teknologia. Tuweke "awe na degree ya kutoka chuo kilichosagiliwa" mwenye kiwango zaidi cha elimu atafikiriwa kwanza.