Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli jamani.. mweee.. [emoji119][emoji119]Huyu ndio mtu wa kumwangalia sasa home girl, sio wale wengine wadangaji. [emoji23]
Nilikukosoa hii habari, ukaja juu. Mwezi wa 6 umepita na sasa tunaingia 2025.Well…
Usichokijua ni kwamba chanzo kinachonipa habari nyingi ninazozileta hapa ambazo hazina shaka ndani yake, kina ukaribu wa moja kwa moja na hao watu. Sio habari za kusikia…
Habari nyingi ninazozileta hapa, 90% huwa napata mrejesho kutoka kwa wahusika walivyozipokea. Wengi humtafuta chanzo changu kulalamika habari hizi nazipata wapi au wengine wanawatafuta watu wake wa karibu na habari zinamfikia naye hunifikishia.
Ndio maana nilishukuru kwa mfuatiliaji wa taarifa zangu kuniambia vile (of course nilichokiandika muhusika alifahamu, FYI)
😃😀😀😃IKO WAPI HIYO APP MWAKA UMEISHA
Wangetenga fungu kama 500Mwameogopa ushindani wa showmax wakaamua wapotezee hii
la niniWangetenga fungu kama 500M
Promola nini