cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Aaah mam nawee hujui kwan? Acha hizo bhana lolDiamond ana hisa ngapi na mke wa Kusaga anazo ngapi hebu nikumbushe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah mam nawee hujui kwan? Acha hizo bhana lolDiamond ana hisa ngapi na mke wa Kusaga anazo ngapi hebu nikumbushe
Anaweza akawa hivyo, kwan kuwa poya n tsh ngap? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani CEO asiwe na maamuzi, sasa huyo ni CEO au boya?
Wa WCBsio kweli kijana inaonekana hujui mke wa kusaga ni mmiliki wa nn!
"hata kiba anajua ndo maana hendi pale" [emoji119][emoji119]Kwanza lazima ujue kuwa brand ya wasafi ni ya mondi.
Kama mondi hana maamuzi,kwa nini show zake hupigwa pale live?kwa nini mambo yake hurushwa pale live mfano happy birthday ya dada yake?
Ukisema wasafi unamaanisha mondi.kuhusu hisa ni maswala ya biashara. Tofauti na hapo ni chuki tu. Hata Kiba anajua ndio maana haendi pale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila kumuweka kiba usingekamilisha hoja? Mmiliki wa wasafi n mke wa kusaga.Kwanza lazima ujue kuwa brand ya wasafi ni ya mondi.
Kama mondi hana maamuzi,kwa nini show zake hupigwa pale live?kwa nini mambo yake hurushwa pale live mfano happy birthday ya dada yake?
Ukisema wasafi unamaanisha mondi.kuhusu hisa ni maswala ya biashara. Tofauti na hapo ni chuki tu. Hata Kiba anajua ndio maana haendi pale.
Na ndio huyo mmiliki mwenye hisa kubwa. Au unasemaje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maamuzi yanatokana na wanahisa wote. Kuna kupigia kura kwa jambo ambalo halifikiwi mwafaka kwa pamoja.
Mwenye hisa nyingi ananufaika kupata mgao mkubwa wa faida inayopatikana, pia hupata hasara kubwa ikitokea biashara kuyumba ndio maana anakuwa mtu wa kulinda sana biashara isipate hasara.
Wee unachokijua kipi?Hakuna unachokijua
Nimesahau naomba unikumbusheAaah mam nawee hujui kwan? Acha hizo bhana lol
Ngoja ntakukumbusha siku nyingine.Nimesahau naomba unikumbushe
Au hata wewe hujui rafikiNgoja ntakukumbusha siku nyingine.
komaa na ubishi wako mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila kumuweka kiba usingekamilisha hoja? Mmiliki wa wasafi n mke wa kusaga.
Nisijue hiyo vipi jomoneeh lol, subiri nkuletee mchanganuo halisi.Au hata wewe hujui rafiki
Good, nasubiriaNisijue hiyo vipi jomoneeh lol, subiri nkuletee mchanganuo halisi.
Sio ubishi jomoneeeh lazima ukweli uwekwe wazi.komaa na ubishi wako mkuu
Ni kujengana tu maana sisi wengine ni taaluma zetu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ahsante kwa elimu anko , wanazengo wana maneno mengi sana
[emoji120][emoji120][emoji120]Ni kujengana tu maana sisi wengine ni taaluma zetu.
Halafu Anko ni muda sana ujue?[emoji120][emoji120][emoji120]
Njoo kule nyumbani nimekuitaHalafu Anko ni muda sana ujue?
Hapo sawaNjoo kule nyumbani nimekuita
Ukweli wako una emotions sana. Jitahidi kuwa neutralPoleeeeeh sana kwahiyo ukweli usisememwe eti kisa kuonekana nina hali ngumu, khaaaaah wee vepeeeeeh, Ts Jf relaaaaaaaaax.