Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Joseph Kusaga: ukiona redio yoyote ya vijana mimi nimo kwa namna moja ama nyingine, aitaja pia jembe ni jembe ya Mwanza.
Nadhani Joseph Kusaga amefunga mjadala wa kipumbavu.
MKURUGENZI Mtendaji wa Clouds Media, Joseph Kusaga, kupitia kipindi cha Clouds 360 leo, amedhibitisha taarifa za kurudiwa kwa tamasha la Tigo Fiesta kabla ya mwaka huu kwisha.
Kusaga ameyasema hayo wakati wa kuadhimisha mwaka wa 19 tangu kuanzishwa kwa Clouds Media Group
Nadhani Joseph Kusaga amefunga mjadala wa kipumbavu.
MKURUGENZI Mtendaji wa Clouds Media, Joseph Kusaga, kupitia kipindi cha Clouds 360 leo, amedhibitisha taarifa za kurudiwa kwa tamasha la Tigo Fiesta kabla ya mwaka huu kwisha.
Kusaga ameyasema hayo wakati wa kuadhimisha mwaka wa 19 tangu kuanzishwa kwa Clouds Media Group