Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Siri ya biashara yoyote ni kutokuonesha kuwa umeianzisha kwaajili ya kupata faida.
Siku zote wafanyabiashara huwa wanajaribu kuonesha UMMA kuwa FOCUS YAO KUBWA SIYO PESA WALA FAIDA, ila lengo lao ni KUSAIDIA WATU au kutatua MATATIZO YA WATU.
Hivyo alichokizungumza yuko sahihi ndio ilivyo kwa mfanyabiashara yoyote.
Lakini ukweli halisi ni kuwa WANAPIGA FAIDA ZA AJABU !
Siku zote wafanyabiashara huwa wanajaribu kuonesha UMMA kuwa FOCUS YAO KUBWA SIYO PESA WALA FAIDA, ila lengo lao ni KUSAIDIA WATU au kutatua MATATIZO YA WATU.
Hivyo alichokizungumza yuko sahihi ndio ilivyo kwa mfanyabiashara yoyote.
Lakini ukweli halisi ni kuwa WANAPIGA FAIDA ZA AJABU !