Nimekuelewa Sana mkuuSiri yoyote ya biashara ni kutokuonesha kuwa umeianzisha kwaajili ya kupata faida.
Siku zote wafanyabiashara huwa wanajaribu kuonesha kuwa FOCUS YAO KUBWA SIYO PESA WALA FAIDA, ila lengo lao ni KUSAIDIA WATU au kutatua MATATIZO YA WATU.
Hivyo alichokizungumza yuko sahihi ndio ilivyo kwa mfanyabiashara yoyote.
Ongezea wadhamini wanatoa shillingi ngapi? Ndio yale yale ya kampuni za madini kila siku wanakuambia hawapati faida, lkn madini yanaisha na wenzetu ambao wana madini kama yale Wanafaidika.kwan walivyoanzisha walituambia gharama za uendeshaji ni pesa ya madafu sh ngapi? na kila mkoa wakienda wanapata sh ngapi? na mwisho wa fiesta walisema wamepata sh ngapi? asijinasibu kwa mbwembwe tu
Kula gwara mkuu, umenena.Siri yoyote ya biashara ni kutokuonesha kuwa umeianzisha kwaajili ya kupata faida.
Siku zote wafanyabiashara huwa wanajaribu kuonesha UMMA kuwa FOCUS YAO KUBWA SIYO PESA WALA FAIDA, ila lengo lao ni KUSAIDIA WATU au kutatua MATATIZO YA WATU.
Hivyo alichokizungumza yuko sahihi ndio ilivyo kwa mfanyabiashara yoyote.
Lakini ukweli halisi ni kuwa WANAPIGA FAIDA ZA AJABU !
sawaKUSAGA ANAMILIKI REDIO ZOTE ZA VIJANA.
@josephkusaga ameeleza kwamba Clouds ndiyo Redio ya kwanza ya vijana, ndiyo redio iliyoanza kupiga muziki wa 'Bongo Fleva' na kuweka muelekeo wa ujana uliopo sasa kwenye media. Anasema wote waliokuja kuanzisha redio walifuata muelekeo wa Clouds wa namna moja na hilo linamfanya yeye kuwa mmiliki
.
"Namiliki Redio zote za vijana kwa namna moja au nyingine" Alisema Kusaga na kusema kwamba yeye anaamini kwenye ushirika (Partnership) na hivyi kuna biashara nyingi (pamoja na Redio) ataendelea kuzianzisha kwa kushirikiana na vijana kwa sababu hilo lilikuwa lengo la Clouds tangu zamani.
.
#Clouds19: Tunajivunia Kufungua Dunia.
Vipi ile Radio 5 ambayo kwasasa ndio East Africa Radio ya sasa ambayo ilianza kabla ya Clouds ni yake?
Dogo naona tangu uanze kumiliki smartphone unajiona una akili kubwa mpaka unaanza kutukana wakubwa zako,nimekuweka kiporo kwa leo.Akili zako ndogo hilo nifumbo huwezi kuelewa
Dogo naona tangu uanze kumiliki smartphone unajiona una akili kubwa mpaka unaanza kutukana wakubwa zako,nimekuweka kiporo kwa leo.
Kwa hiyo baada ya kumaliza form4 mwaka huu unajiona tunalingana nawe sio?Dogo unajua age yangu?
Kwa hiyo baada ya kumaliza form4 mwaka huu unajiona tunalingana nawe sio?
Kweny ile list ya konkii ya wale maraia waliofumuliwa rinda huyu dogo hayupo kweli?
To be a patriot thare is a price to pay
CLOUDS FM ILIANZA MWAKA 1999 BONGO FLEVA ILIANZA 1981 NADHANI BOSI KUSAGA AMEANZA KUCHANGANYA MAFAILI .KUSAGA ANAMILIKI REDIO ZOTE ZA VIJANA.
@josephkusaga ameeleza kwamba Clouds ndiyo Redio ya kwanza ya vijana, ndiyo redio iliyoanza kupiga muziki wa 'Bongo Fleva' na kuweka muelekeo wa ujana uliopo sasa kwenye media. Anasema wote waliokuja kuanzisha redio walifuata muelekeo wa Clouds wa namna moja na hilo linamfanya yeye kuwa mmiliki
.
"Namiliki Redio zote za vijana kwa namna moja au nyingine" Alisema Kusaga na kusema kwamba yeye anaamini kwenye ushirika (Partnership) na hivyi kuna biashara nyingi (pamoja na Redio) ataendelea kuzianzisha kwa kushirikiana na vijana kwa sababu hilo lilikuwa lengo la Clouds tangu zamani.
.
#Clouds19: Tunajivunia Kufungua Dunia.
KACHANGANYIKIWA HUYOVipi ile Radio 5 ambayo kwasasa ndio East Africa Radio ya sasa ambayo ilianza kabla ya Clouds ni yake?