Jamaa anatujazia thread za Clouds sijui mfanyakazi wao! maana hii ya tatu yote yeye tuDogo naona tangu uanze kumiliki smartphone unajiona una akili kubwa mpaka unaanza kutukana wakubwa zako,nimekuweka kiporo kwa leo.
Mbona mnatetemeka?
Mwacheni jamani duh!
Smooth operators hao, matawi ya juu!
Kama kweli basi umeathiriwa kiakili na ule mchezo wenu pendwa hapo mawingu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamii forums bwana
Sasa wewe aliye kuambia Mimi nimemaliza form 4 mwaka huu nan?
Kwataarifa yako Mimi nimemaliza form 4 mwaka 2000
Kama kweli basi umeathiriwa kiakili na ule mchezo wenu pendwa hapo mawingu.
Kuna tusi lolote hapo?Imekuchoma kumoyo [emoji180][emoji180][emoji180] hadi unaanza matusi
Mwambie mambo yapo Kwa wasafiTIGO FIESTA IPO.
"#TigoFiesta2018 ipo, na lazima ifanyike kabla ya mwaka kuisha. Nimezungumza hadi na Mh Rais (Dkt Magufuli) kwamba pengine suala ni 'venue'.....Hili jambo limepenyezwa kwa viongozi wa Serikali tumekaa tumezungumza.." @josephkusaga.
.
.
#Clouds19
Hii mada yako peleka kule kwenye majukwaa yenu
Kwa maelezo yake amesema fiesta inaandaliwa na kampuni 15 ndizo vyanzo vya mapato siyo mapato ya raia wanaoingia. So Fiesta ina make via wadhaminiNilidhan hawapati faida kabisa kumbe wanapata japo kidogo
Tatizo mnaocomment hamjamskiliza, kasema fiesta kwa viingilio haina faida maana unakuta wanaingia labda watu 5000 ukiangalia gharama za kuandaa na wasanii wanaopanda ni kubwa kuliko ela iliyo kusanywa, ila kasema fiesta inaandaliwa na watu 15 (nadhani alikuwa ana refer makampuni wadhamini) na ndiyo source ya mapato na uendeshaji wa fiesta.Yani upate hasara halafu kila leo uendelee kufanya kilekile...hahaha akawadanganye wajinga
Yes CMG wanamazuri mengi kuliko mabaya. Kama unaakili utajifunza na hasa wajisiliamali wanapaswa kujifunza namna CMG inavyo handle wafanyakazi na kuwatumia kwa faida ya pande zote.Kajibu Kidplomasia sana maana swali lilikuwa direct ila kazunguka mbuyu japo jibu ni wazi kuwa anamiliki WCB radio.
Ila hawa CMG ukisikiliza walikotoka na story za watangazaji wao na wafanyakazi wengine zina inspire na zinavutia. Hawa jamaa ukiachilia mbali matatizo walio nayo ila inaelekea wamefanya mambo mengi makubwa na mazuri ambayo ni makubwa kuliko mabaya yao.
Pia inaelekea CMG inawapa sana nafasi watangazaji wake maana jana nilikuwa namsikiliza Kennedy alikuwa anatangaza EA radio lakin kumbe alikuwa anatamani sana kufahamiana na akina B12 na Mchomvu yani kuna siku eti George Bantu alikutana na Mchomvu kwenye tamasha flani, mchomvu akamuuliza george kennedy yuko wapi maana mchomvu alikuwa anapenda utangazaji wa kennedy ila hakuwa anamfahamu.
Kennedy hakuwepo eti george alipomwambia kennedy kuwa mchomvu kamuulizia kennedy hakuamini akauliza hakukupa hata namba zake. Kennedy anadai hata wanaomjua wakimuona wanaona mabadiriko yake ya kmaisha toka amejiunga CMG.
Kuna tesmony za wafanyakazi wengi zinachekesha na kuvutia kusikiliza akiwemo akina George bantu barbra na wengine.
Jambo moja ni kwamba watu tunaangalia mtu alipo bila kujua kaanzia wapi kabla wewe ya kumfahamu