PetterIsuti
Senior Member
- Nov 29, 2014
- 118
- 28
Mwenye ile Hospital ndiye aliandika barua kwenda manispaa kuomba ile shughuli inawabughudhi pale! embu fikiria mwenyewe sound kama ile alafu mita 150-200 kuna hospital! just be serious jomba! ukiwa Hospital tu huruhusi kupiga honi alafu mtu anafunga sound moja ambalo hatari! Inshort taarifa za serikali ni siri ningekuwekea.
Watanzania kwa kupindisha maneno bwana yani unamwekea maneno mdomoni. Alisema Fiesta itafanyika kabla ya mwaka kuisha hakusema itafanyika leaders. Na kuhusu kumuona raisi alikuwa akiongelea juu ya kupata eneo ambalo watajenga ukumbi ambao ni sound proof ambao matamasha yote makubwa yanaweza fanyika akasema hata matamasha ya kidiniCEO wa CMG Mr. Joseph Kusaga jana kupitia mahojiano yako katika 360 ulisikika ukisema kuwa Fiesta lazima ifanyike ndani ya mwaka huu, Lakini ulienda mbali sana na kufikia kusema umeshaongea hadi na Mh Rais kwaajili ya tamasha lako la Fiesta.
Kimsingi Afisa Utamaduni wa Manispaa ya kinondoni kwenye barua yake kwenu yenye Kumb No. KMC/UT/KMO/01 ya tarehe 23/11/2018 haikupiga marufuku Tamasha la Fiesta isipokuwa eneo lalamikiwa ambalo linafanyika tamasha lenu lilikuwa na karibu na Hospital na kuwataka tamasha lenu lipelekwe Tanganyika Peakers-kawe, Ata kama musingetaka lifanyike Tanganyika Peakers labda kutokana na miundombinu basi ata Uwanja wa uhuru ungefaa pia.
Kwenda kuongea na Mh Rais kushinikiza Tamasha lenu lifanyike Leaders tena ni kuto tii mamlaka za chini sasa musije kufikia hatua mukawa munamshinikiza Mh Rais avunje utaratibu wa mamlaka zake za chini kisa uswahiba wenu.
Nakutaka Kusaga kuheshimu mamlaka kwani manispaa ya Kinondoni ishapiga marufuku kwa shughuli zozote za matamasha kufanyika hapo Leaders na usitumie mwanya wa uswahiba wako na Mh Rais kushinikiza yale unayoyataka ilimradi sheria na taratibu zivunjwe.
CEO fuata utaratibu.
Weka clip au kapicha alivyokuwa anaongea na RaisJaman tuache roho mbaya, hivi unataka kuniambia ww ungekuwa na access ya kuonana na rais usingetumia hiyo chance kupata mtelemko flan?
Yani we ndiyo zumbukuku kweli! sasa wamtishia nani hapa? Mi nimesikiliza jana na kasema kuwa ameshaongea na Mh Rais sasa nilichosema asije akatumia ukaribu wake vibaya kuzihujumu mamlaka za chini!
We unakuja hapa na mikwara yako eti nianike! Anika chupi yako...!
Weka clip au kapicha alivyokuwa anaongea na Rais
Hahahaa.....!Ukitoka shamba unakula bata hadi mida ya saa kuminambili asubuhi
Kwanini sasa hivi hatuli,tatizo nini Jingalao?Ukitoka shamba unakula bata hadi mida ya saa kuminambili asubuhi
Halafu wewe upo kambi gani,Hapa Kazi Tuu au KaziNaBata?Ukitoka shamba unakula bata hadi mida ya saa kuminambili asubuhi
Nenda kaandae lako upige hela... Ni ujinga kufananisha tamasha la Fiesta na sherehe ya HBNi matajr wachache kama Kusaga ambao wanafanya jambo lisilo na tija sana kwao ila wanafanya kwa ajili ya wengine.Kuna uongo mwingine kuuamn inatakiwa uwe zezeta zaid.Sa wadhamin watawekeza pesa sehemu isiyo na manufaa.Wasanii wanalipwa kidogo hlo liko waz kabsa.Kwa ambae hajawah kuandaa sherehe hata ya birthday ndio atadanganyka.Ila uandaaj wa matamasha hata haya ye2 tunayoendaga vijijin.Faida ipo maana unalpa kikund 50 ww unapata laki.Naongea ninachokijua sio nlichoambiwa...
NotedKajibu Kidplomasia sana maana swali lilikuwa direct ila kazunguka mbuyu japo jibu ni wazi kuwa anamiliki WCB radio.
Ila hawa CMG ukisikiliza walikotoka na story za watangazaji wao na wafanyakazi wengine zina inspire na zinavutia. Hawa jamaa ukiachilia mbali matatizo walio nayo ila inaelekea wamefanya mambo mengi makubwa na mazuri ambayo ni makubwa kuliko mabaya yao.
Pia inaelekea CMG inawapa sana nafasi watangazaji wake maana jana nilikuwa namsikiliza Kennedy alikuwa anatangaza EA radio lakin kumbe alikuwa anatamani sana kufahamiana na akina B12 na Mchomvu yani kuna siku eti George Bantu alikutana na Mchomvu kwenye tamasha flani, mchomvu akamuuliza george kennedy yuko wapi maana mchomvu alikuwa anapenda utangazaji wa kennedy ila hakuwa anamfahamu.
Kennedy hakuwepo eti george alipomwambia kennedy kuwa mchomvu kamuulizia kennedy hakuamini akauliza hakukupa hata namba zake. Kennedy anadai hata wanaomjua wakimuona wanaona mabadiriko yake ya kmaisha toka amejiunga CMG.
Kuna tesmony za wafanyakazi wengi zinachekesha na kuvutia kusikiliza akiwemo akina George bantu barbra na wengine.
Jambo moja ni kwamba watu tunaangalia mtu alipo bila kujua kaanzia wapi kabla wewe ya kumfahamu