Wolf
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 313
- 255
Uzi mrefu unaeleweka kukosea ipo sasa pale kwenye quote yako kuna urefu gani kubali kusahihishwa mkuu mbn jambo dogo tu alafu unapaniki braza
Huna unalolijua ina maana hujawahi kusoma threads ndefu, maana siku nzima ungekuwa una edit sarufi. Usiniletee njaa umetoka kwe hoja unaingia kwenye mambo hata yasiofikilisha akili.