Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
yaani wewe ndio hujui kitu kabisaaaa ! CDF ndio alimnusuru huyu mama dhidi ya Sukuma gang , hao wengine wala hawakujishughulisha kabisaaa na kuna tetesi kwamba walikuwa miongoni mwa ile gangMama Rais, "Mothers Love" kwa upendo na kushauri ukisikiliza akili hizi za wavuta sonyo umekwisha na nchi hii itakushinda. Angalia wasaidizi wote hawa waliotajwa walivyotenda kipindi cha msiba wa JPM
Ili kumjua huyu ni mnafiki na anataka akuingize shimo kwa nini amtaje IGP na wengine asimtaje CDF. Acha hawa waondoke kwa taratibu za kustaafu kwa heshima. Nchi hii haijawahi kufikwa na msiba wa Rais aliye Madarakani. Heshimu hawa wasaidizi wako kwa hilo tu la kutuvusha hata kama huna kingine.
Samia naye ni mmoja wa hao ‘walewale’! Tena yeye ndo alikuwa juu kabisa kushinda hata hao wengine.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upumbavu tu!
Yeye Samia katokea kwenye mfumo upi?
Yani hata baada ya kifo cha Magufuli michadema bado inaona kufeli kwao ni sababu ya Magufuli?
Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria ila wamefanikiwa kwenye malengo yao.
Nendeni hata hapo kwa mpinzani wa Lungu muone katumia mbinu gani.
Alishawaambia yeye na Magufuli ni kitu kimoja!Hatuna shida na Samia kuwa yuleyule bali asiudanganye umma , alishasema kulikuwa na kesi147 za kubambikiza , mbambikizaji mkuu akiwa Sirro , sasa mbona hakumuondoa ?
chama kisicho na akili kinawezaje kutengeneza ajenda za nchi ?Samia naye ni mmoja wa hao ‘walewale’! Tena yeye ndo alikuwa juu kabisa kushinda hata hao wengine.
Hawa CHADEMA hawana akili kabisa.
yaani wewe ndio hujui kitu kabisaaaa ! CDF ndio alimnusuru huyu mama dhidi ya Sukuma gang , hao wengine wala hawakujishughulisha kabisaaa na kuna tetesi kwamba walikuwa miongoni mwa ile gang
Wakati zinabambikwa yeye alikuwa wapi?Hatuna shida na Samia kuwa yuleyule bali asiudanganye umma , alishasema kulikuwa na kesi147 za kubambikiza , mbambikizaji mkuu akiwa Sirro , sasa mbona hakumuondoa ?
Agenda za ugaidi?chama kisicho na akili kinawezaje kutengeneza ajenda za nchi ?
ndio tunamshangaa sasa !Wakati zinabambikwa yeye alikuwa wapi?
Mambo yakimwendea kombo asimlilie mtuTatizo ni kurithi watu wa jpm, jmk halafu akaongeza na giligiliani yake
Sugu ni boya tu Kama weweSamia mnafiki tu
Sugu ni msema kweli. Na ni Mpenzi wa Mungu.
Rais Samia haaminiki tena
Michadema ni manyumbuSamia naye ni mmoja wa hao ‘walewale’! Tena yeye ndo alikuwa juu kabisa kushinda hata hao wengine.
Hawa CHADEMA hawana akili kabisa.
Magufuli alikua ni zaidi ya janga.huyu wa sasa anajidhalilisha.eti Mbowe wenzake wamefungwa yeye hakuwepo.ni kina nani hao???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upumbavu tu!
Yeye Samia katokea kwenye mfumo upi?
Yani hata baada ya kifo cha Magufuli michadema bado inaona kufeli kwao ni sababu ya Magufuli?
Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria ila wamefanikiwa kwenye malengo yao.
Nendeni hata hapo kwa mpinzani wa Lungu muone katumia mbinu gani.
Hahhaha Magu fala sana yule.Magufuli alikua ni zaidi ya janga.huyu wa sasa anajidhalilisha.eti Mbowe wenzake wamefungwa yeye hakuwepo.ni kina nani hao???