Joseph Mbilinyi: Rais Samia hawezi kubadili mfumo akiwa na watu walewale

Joseph Mbilinyi: Rais Samia hawezi kubadili mfumo akiwa na watu walewale

Mama Rais, "Mothers Love" kwa upendo na kushauri ukisikiliza akili hizi za wavuta sonyo umekwisha na nchi hii itakushinda. Angalia wasaidizi wote hawa waliotajwa walivyotenda kipindi cha msiba wa JPM

Ili kumjua huyu ni mnafiki na anataka akuingize shimo kwa nini amtaje IGP na wengine asimtaje CDF. Acha hawa waondoke kwa taratibu za kustaafu kwa heshima. Nchi hii haijawahi kufikwa na msiba wa Rais aliye Madarakani. Heshimu hawa wasaidizi wako kwa hilo tu la kutuvusha hata kama huna kingine.
yaani wewe ndio hujui kitu kabisaaaa ! CDF ndio alimnusuru huyu mama dhidi ya Sukuma gang , hao wengine wala hawakujishughulisha kabisaaa na kuna tetesi kwamba walikuwa miongoni mwa ile gang
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upumbavu tu!

Yeye Samia katokea kwenye mfumo upi?

Yani hata baada ya kifo cha Magufuli michadema bado inaona kufeli kwao ni sababu ya Magufuli?


Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria ila wamefanikiwa kwenye malengo yao.

Nendeni hata hapo kwa mpinzani wa Lungu muone katumia mbinu gani.
Samia naye ni mmoja wa hao ‘walewale’! Tena yeye ndo alikuwa juu kabisa kushinda hata hao wengine.

Hawa CHADEMA hawana akili kabisa.
 
Samia naye ni mmoja wa hao ‘walewale’! Tena yeye ndo alikuwa juu kabisa kushinda hata hao wengine.

Hawa CHADEMA hawana akili kabisa.
chama kisicho na akili kinawezaje kutengeneza ajenda za nchi ?
 
yaani wewe ndio hujui kitu kabisaaaa ! CDF ndio alimnusuru huyu mama dhidi ya Sukuma gang , hao wengine wala hawakujishughulisha kabisaaa na kuna tetesi kwamba walikuwa miongoni mwa ile gang

Haya! Yaani leo hii cdm na kina sugu ndio wa kuipenda ccm na mkt wao, kwamba huu ni ushauri wa kuiimarisha CCM na serikali yake?! Labda niko ndotoni. Hii naona ni kama kumdharau mh Rais wa JMT.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upumbavu tu!

Yeye Samia katokea kwenye mfumo upi?

Yani hata baada ya kifo cha Magufuli michadema bado inaona kufeli kwao ni sababu ya Magufuli?

Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria ila wamefanikiwa kwenye malengo yao.

Nendeni hata hapo kwa mpinzani wa Lungu muone katumia mbinu gani.
Magufuli alikua ni zaidi ya janga.huyu wa sasa anajidhalilisha.eti Mbowe wenzake wamefungwa yeye hakuwepo.ni kina nani hao???
 
Back
Top Bottom