johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CCM ni Kofia na t-shirt. πLucas Mwashambwa madera ya Ccm bado hayajafika tu?
Hawa ndio waandishi bora wa jf, yaani anajiuliza na kujijibu mwenyeweMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi-Sugu Moto Chini amekabidhi Madera 100 kwa Jumuiya ya Wanawake BAWACHA pamoja na Vitabu 50
Sugu ametoa taarifa ya makabidhiano Ukurasani X
Baadae mlale Unono ππ
Erythrocyte wahi zawadi π
NAOMBA KUULIZA ILA NINA MWANASHERIA WANGU.Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi-Sugu Moto Chini amekabidhi Madera 100 kwa Jumuiya ya Wanawake BAWACHA pamoja na Vitabu 50
Sugu ametoa taarifa ya makabidhiano Ukurasani X
Baadae mlale Unono ππ
Erythrocyte wahi zawadi π
Samahani sikujua kama wewe ndio unagawa ππHawa ndio waandishi bora wa jf, yaani anajiuliza na kujijibu mwenyewe
Naskia Erythrocyte ndio alifanyiwa sampling ya size ya madera mana hawawezi kumpima kila mwana bavicha.Samahani sikujua kama wewe ndio unagawa ππ
Sasa kama umeamua kunishambulia ili upate "LIKE"nyingi basi endelea kuzipataSamahani sikujua kama wewe ndio unagawa ππ
Kwani like zinaongezaga nini? πSasa kama umeamua kunishambulia ili upate "LIKE"nyingi basi endelea kuzipata
Itakuwaje hata kapicha hakuna? Kwa sababu hili litakuwa ni tukio muhimu kwa mwenyekiti wa kanda mpya!Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi-Sugu Moto Chini amekabidhi Madera 100 kwa Jumuiya ya Wanawake BAWACHA pamoja na Vitabu 50
Sugu ametoa taarifa ya makabidhiano Ukurasani X
Baadae mlale Unono ππ
Erythrocyte wahi zawadi π