Joseph Mbilinyi (Sugu) alikuwa sahihi, Rais Samia anaendesha nchi vizuri

Joseph Mbilinyi (Sugu) alikuwa sahihi, Rais Samia anaendesha nchi vizuri

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Januari 12,22023 , Mbunge mstaafu wa Mbeya kwa tiketi ya CHADEMA , Joseph Mbilinyi alitweet" Nchi inaenda, so far so good. Hakuna tena kuokota viroba Coco, wala raia kutekwa ovyo na state.

Mengine yote yanazungumzika,na tutakutana kwenye mikutano ya hadhara soon. Mungu aendelee kuwapa busara viongozi wetu hawa ⁦(Rais Samia, Mbowe na Kinana"

Sugu kaongea ukweli sana.

Kwanza kwa kuangalia namna ambayo Rais Samia aliingia madarakani. Ni ngumu sana nchi kuvuka salama Rais anapoondoka madarakani kwa kufa, kupinduliwa au kujiuzulu. Wengi wanaangukia kwenye vita na machafuko makubwa. Rais Samia Suluhu alituvusha salama.

Pili tuangalie hali aliyoikuta, unachukua nchi kutoka kwa Rais ambaye kuna watu wanamuona kama dikteta, anaminya demokrasia na haki za watu. Rais Samia Suluhu ni mtu mpenda haki, ni mwanadiplomasia wa kweli. Alipoingia hatusikii watu kutekwa, kesi za hovyohovyo na ubabe mwingine. Tunaona sasa vyama vya upinzani vinarudi barabarani. Vikosi vya mabavu vya watoza ushuru havipo, kodi inakusanywa kwa haki na makusanyo yake yameongezeka.

Tatu, hali ya uchumi wa dunia imekuwa na matokeo mabaya kwa nchi yetu. Rais Samia Suluhu akakutana na lawama zisizomhusu kwenye mafuta, kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa nyingine.

Lakini yeye ni mstahimilifu, akaja na ruzuku kwenye mafuta, mbolea na hatua nyingi anazochuku kutupunguzia machungu ya kuporomoka kwa uchumi wa dunia.

Bila Mama tungekuwa pabaya.

Asante Rais Samia Suluhu, naungana na Sugu kukupongeza.

FTOVy8mXEAA1xGV.jpg
 
Januari 12,22023 , Mbunge mstaafu wa Mbeya kwa tiketi ya CHADEMA , Joseph Mbilinyi alitweet" Nchi inaenda, so far so good. Hakuna tena kuokota viroba Coco, wala raia kutekwa ovyo na state.

Mengine yote yanazungumzika,na tutakutana kwenye mikutano ya hadhara soon. Mungu aendelee kuwapa busara viongozi wetu hawa ⁦(Rais Samia, Mbowe na Kinana"

Sugu kaongea ukweli sana.

Kwanza kwa kuangalia namna ambayo Rais Samia aliingia madarakani. Ni ngumu sana nchi kuvuka salama Rais anapoondoka madarakani kwa kufa, kupinduliwa au kujiuzulu. Wengi wanaangukia kwenye vita na machafuko makubwa. Rais Samia Suluhu alituvusha salama.

Pili tuangalie hali aliyoikuta, unachukua nchi kutoka kwa Rais ambaye kuna watu wanamuona kama dikteta, anaminya demokrasia na haki za watu. Rais Samia Suluhu ni mtu mpenda haki, ni mwanadiplomasia wa kweli. Alipoingia hatusikii watu kutekwa, kesi za hovyohovyo na ubabe mwingine. Tunaona sasa vyama vya upinzani vinarudi barabarani. Vikosi vya mabavu vya watoza ushuru havipo, kodi inakusanywa kwa haki na makusanyo yake yameongezeka.

Tatu, hali ya uchumi wa dunia imekuwa na matokeo mabaya kwa nchi yetu. Rais Samia Suluhu akakutana na lawama zisizomhusu kwenye mafuta, kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa nyingine.

Lakini yeye ni mstahimilifu, akaja na ruzuku kwenye mafuta, mbolea na hatua nyingi anazochuku kutupunguzia machungu ya kuporomoka kwa uchumi wa dunia.

Bila Mama tungekuwa pabaya.

Asante Rais Samia Suluhu, naungana na Sugu kukupongeza.

View attachment 2488854
Kuna nafuu sana
 
Januari 12,22023 , Mbunge mstaafu wa Mbeya kwa tiketi ya CHADEMA , Joseph Mbilinyi alitweet" Nchi inaenda, so far so good. Hakuna tena kuokota viroba Coco, wala raia kutekwa ovyo na state.

Mengine yote yanazungumzika,na tutakutana kwenye mikutano ya hadhara soon. Mungu aendelee kuwapa busara viongozi wetu hawa ⁦(Rais Samia, Mbowe na Kinana"

Sugu kaongea ukweli sana.

Kwanza kwa kuangalia namna ambayo Rais Samia aliingia madarakani. Ni ngumu sana nchi kuvuka salama Rais anapoondoka madarakani kwa kufa, kupinduliwa au kujiuzulu. Wengi wanaangukia kwenye vita na machafuko makubwa. Rais Samia Suluhu alituvusha salama.

Pili tuangalie hali aliyoikuta, unachukua nchi kutoka kwa Rais ambaye kuna watu wanamuona kama dikteta, anaminya demokrasia na haki za watu. Rais Samia Suluhu ni mtu mpenda haki, ni mwanadiplomasia wa kweli. Alipoingia hatusikii watu kutekwa, kesi za hovyohovyo na ubabe mwingine. Tunaona sasa vyama vya upinzani vinarudi barabarani. Vikosi vya mabavu vya watoza ushuru havipo, kodi inakusanywa kwa haki na makusanyo yake yameongezeka.

Tatu, hali ya uchumi wa dunia imekuwa na matokeo mabaya kwa nchi yetu. Rais Samia Suluhu akakutana na lawama zisizomhusu kwenye mafuta, kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa nyingine.

Lakini yeye ni mstahimilifu, akaja na ruzuku kwenye mafuta, mbolea na hatua nyingi anazochuku kutupunguzia machungu ya kuporomoka kwa uchumi wa dunia.

Bila Mama tungekuwa pabaya.

Asante Rais Samia Suluhu, naungana na Sugu kukupongeza.

View attachment 2488854
4433333 (1).jpg

Wapenda Amani, haki na maendeleo tunapoona haya nyoyo zetu hujawa na furaha tele
 
Januari 12,22023 , Mbunge mstaafu wa Mbeya kwa tiketi ya CHADEMA , Joseph Mbilinyi alitweet" Nchi inaenda, so far so good. Hakuna tena kuokota viroba Coco, wala raia kutekwa ovyo na state.

Mengine yote yanazungumzika,na tutakutana kwenye mikutano ya hadhara soon. Mungu aendelee kuwapa busara viongozi wetu hawa ⁦(Rais Samia, Mbowe na Kinana"

Sugu kaongea ukweli sana.

Kwanza kwa kuangalia namna ambayo Rais Samia aliingia madarakani. Ni ngumu sana nchi kuvuka salama Rais anapoondoka madarakani kwa kufa, kupinduliwa au kujiuzulu. Wengi wanaangukia kwenye vita na machafuko makubwa. Rais Samia Suluhu alituvusha salama.

Pili tuangalie hali aliyoikuta, unachukua nchi kutoka kwa Rais ambaye kuna watu wanamuona kama dikteta, anaminya demokrasia na haki za watu. Rais Samia Suluhu ni mtu mpenda haki, ni mwanadiplomasia wa kweli. Alipoingia hatusikii watu kutekwa, kesi za hovyohovyo na ubabe mwingine. Tunaona sasa vyama vya upinzani vinarudi barabarani. Vikosi vya mabavu vya watoza ushuru havipo, kodi inakusanywa kwa haki na makusanyo yake yameongezeka.

Tatu, hali ya uchumi wa dunia imekuwa na matokeo mabaya kwa nchi yetu. Rais Samia Suluhu akakutana na lawama zisizomhusu kwenye mafuta, kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa nyingine.

Lakini yeye ni mstahimilifu, akaja na ruzuku kwenye mafuta, mbolea na hatua nyingi anazochuku kutupunguzia machungu ya kuporomoka kwa uchumi wa dunia.

Bila Mama tungekuwa pabaya.

Asante Rais Samia Suluhu, naungana na Sugu kukupongeza.

View attachment 2488854
Naungana na wewe aisee Rais Samia Suluhu ameikuta nchi katika hali mbaya ya kiuchumi lakini amesimama imara na sasa uchumi wa Tanzania unazidi kukua pia alipoingia madarakani ameboresha huduma zote za kijamii
 
Januari 12,22023 , Mbunge mstaafu wa Mbeya kwa tiketi ya CHADEMA , Joseph Mbilinyi alitweet" Nchi inaenda, so far so good. Hakuna tena kuokota viroba Coco, wala raia kutekwa ovyo na state.

Mengine yote yanazungumzika,na tutakutana kwenye mikutano ya hadhara soon. Mungu aendelee kuwapa busara viongozi wetu hawa ⁦(Rais Samia, Mbowe na Kinana"

Sugu kaongea ukweli sana.

Kwanza kwa kuangalia namna ambayo Rais Samia aliingia madarakani. Ni ngumu sana nchi kuvuka salama Rais anapoondoka madarakani kwa kufa, kupinduliwa au kujiuzulu. Wengi wanaangukia kwenye vita na machafuko makubwa. Rais Samia Suluhu alituvusha salama.

Pili tuangalie hali aliyoikuta, unachukua nchi kutoka kwa Rais ambaye kuna watu wanamuona kama dikteta, anaminya demokrasia na haki za watu. Rais Samia Suluhu ni mtu mpenda haki, ni mwanadiplomasia wa kweli. Alipoingia hatusikii watu kutekwa, kesi za hovyohovyo na ubabe mwingine. Tunaona sasa vyama vya upinzani vinarudi barabarani. Vikosi vya mabavu vya watoza ushuru havipo, kodi inakusanywa kwa haki na makusanyo yake yameongezeka.

Tatu, hali ya uchumi wa dunia imekuwa na matokeo mabaya kwa nchi yetu. Rais Samia Suluhu akakutana na lawama zisizomhusu kwenye mafuta, kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa nyingine.

Lakini yeye ni mstahimilifu, akaja na ruzuku kwenye mafuta, mbolea na hatua nyingi anazochuku kutupunguzia machungu ya kuporomoka kwa uchumi wa dunia.

Bila Mama tungekuwa pabaya.

Asante Rais Samia Suluhu, naungana na Sugu kukupongeza.

View attachment 2488854
Sugu atwambie Pana urafiki Gani kati ya PAKA na PANYA?

Au fisi na mtoto wa Kondoo wanaweza cheza pamoja?

Ile CARTOON ya Masoud Kipanya ilomuonyesha mtu alovaa nguo ya bluu na red asiye na KICHWA alimlenga SUGU na Co.

Subiri madai ya Katiba yapambe moto ndo atajua mapembe ya kinanare na cccccm yalipo!!!!!
 
Back
Top Bottom