Sugu anasema kwamba Tanzania sasa imekua salama sio kama zamani matukio ya kutisha hayapo tena democrasia imerejea chini ya Rais Samia Suluhu hakika tutafika mbali maana naona upinzania wameanza kupata akili sio kila kitu cha kupinga kizuri kisifie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Skepticism is a must!View attachment 2479124
Sugu anasema kwamba Tanzania sasa imekua salama sio kama zamani matukio ya kutisha hayapo tena democrasia imerejea chini ya Rais Samia Suluhu hakika tutafika mbali maana naona upinzania wameanza kupata akili sio kila kitu cha kupinga kizuri kisifie
Wewe kuna watu uliwaogopa kwenye dala dala Mkuu ? Na kwanini ?😂,nimecheka sana ,hakika watoto wakija kusoma hizi comments miaka 20 ijayo watadhani watanzania tuliishi kama nyakati za Nazi GermanSUGU yupo sawa angalau Sasa wa Tanzania hatuogopani Kwenye ma daladala kipindi Cha Jiwe kilitisha mno kuriko hata JEHANAM.
Unafikiria anaongea Bure kala kashiba tyr ndo maana wanaoumizwa na njaa hawaelewi huu ujinga anaongea uyo pimbiView attachment 2479124
Sugu anasema kwamba Tanzania sasa imekua salama sio kama zamani matukio ya kutisha hayapo tena democrasia imerejea chini ya Rais Samia Suluhu hakika tutafika mbali maana naona upinzania wameanza kupata akili sio kila kitu cha kupinga kizuri kisifie