Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Inawasaidia nini wananchi waliopo huko bombani muheza mkoani tanga!Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini , Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Nchi mbalimbali (kimataifa) , Bilionea Joseph Mbilinyi , leo ameshiriki ibada Maalum ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa katika Parokia ya Ruanda Jijini Mbeya .
Tangu nisome ile comment yako kwenye ule UZI WA KIMASKHARA, akili yangu imevurugwa natamani nionje tamu.Vizuri
Yuko wapi tumchangie.Mtoto wake fundi gereji anateseka ameshindwa kumsaidia. Sugu ni wa ovyo sana
Vaa kanga utapata pesa...Nani duniani anagawa pesa?Sugu anayejulikana na wana Mbeya kwa ubahili wake mkubwa wa kikinga hawezi kuchangia kitita zaidi ya kutoa vipesa mbuzi. Kama nasema uongo embu weka kiasi alichotoa. Pia napenda kukwaambia kuwa jimbo la Mbeya ni la Dr Tulia ambaye amepewa hati miliki na wana Mbeya. Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kumpa kura ya ndio Sugu
Inaweza isiwasaidie kwa jinsi unavyo fikili ila kwakusaidia ujenzi wa kanisa, nikusaidia jamii pengine hata ndugu wa wanamuheza hao wengine wapo huko Mbea na wataabudia hilo kanisa.Inawasaidia nini wananchi waliopo huko bombani muheza mkoani tanga!
Sugu anayejulikana na wana Mbeya kwa ubahili wake mkubwa wa kikinga hawezi kuchangia kitita zaidi ya kutoa vipesa mbuzi. Kama nasema uongo embu weka kiasi alichotoa. Pia napenda kukwaambia kuwa jimbo la Mbeya ni la Dr Tulia ambaye amepewa hati miliki na wana Mbeya. Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kumpa kura ya ndio Sugu
Karibu sanaInawasaidia nini wananchi waliopo huko bombani muheza mkoani tanga!
Huyo mke wake hapo ana roho mbaya sana sidhani kama anaweza kumkubali huyo mtoto . Happy ana roho mbaya mno na ni mnafiki sana.Mtoto wake fundi gereji anateseka ameshindwa kumsaidia. Sugu ni wa ovyo sana
maada ni kuchangia ujenzi wa kanisa , Nyie endeleeni na ushirikina wa kutembea na MajenezaSugu anayejulikana na wana Mbeya kwa ubahili wake mkubwa wa kikinga hawezi kuchangia kitita zaidi ya kutoa vipesa mbuzi. Kama nasema uongo embu weka kiasi alichotoa. Pia napenda kukwaambia kuwa jimbo la Mbeya ni la Dr Tulia ambaye amepewa hati miliki na wana Mbeya. Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kumpa kura ya ndio Sugu
Karibu sanaHuyo mke wake hapo ana roho mbaya sana sidhani kama anaweza kumkubali huyo mtoto . Happy ana roho mbaya mno na ni mnafiki sana.
Tanga wana Parokia zao bossInawasaidia nini wananchi waliopo huko bombani muheza mkoani tanga!
Kwa kweli bado anandoto za kugombea tena Ubunge,yaani inamaana hakuna watu wengine kwamba kila mara ni wao tu...Wajikite kwenye shghuli nyingine na wangene waingie huko Bungeni na mawazo Mapya.ifike mahala hawa watu wawe WANASTAAFU.
Hata buku ni pesa ndefi. Kama kaweka zaidi ya hiyo weka kiasi gani hapa au UNYAMAZE KIMYA!!maada ni kuchangia ujenzi wa kanisa , Nyie endeleeni na ushirikina wa kutembea na Majeneza