Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
๐๐๐๐Kwahiyo leo SUGU hafai MBEYA MJINI? Kuna WATU ni vigeugeu sijapata kuona ๐๐พ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Kwahiyo leo SUGU hafai MBEYA MJINI? Kuna WATU ni vigeugeu sijapata kuona ๐๐พ
Ndiye huyo huyo , maisha yanabadilikaMkuu wangu, mbona unampa sifa kedekede sugu? Ni yule sugu niliyemfahamu kama 2proud enzi zile za kuibuka bongofleva?
Hii comment Yako kwani imewasaidia nini hao wananchi wa huko bombani?Inawasaidia nini wananchi waliopo huko bombani muheza mkoani tanga!
Mtu kuwa fundi gereji ni mateso?Mtoto wake fundi gereji anateseka ameshindwa kumsaidia. Sugu ni wa ovyo sana
Hicho kitita kizito ni Tsh ngapi, isijekuwa laki 5 ndio ukaita kitita kizito ๐๐๐๐๐๐๐Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Nchi mbalimbali (kimataifa) , Bilionea Joseph Mbilinyi, leo ameshiriki ibada Maalum ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa katika Parokia ya Ruanda Jijini Mbeya .
Mbali na yeye mwenyewe kuchangia kitita kizito kitakachosogeza mbele Ujenzi wa Parokia hiyo , amewahamasisha Matajiri wenzake wa Mbeya na Kwingineko kujitokeza kuchangia ujenzi wa Nyumba za Mungu kwa lengo la kuchota baraka, ambako amedai wingi wa nyumba za ibada utapunguza dhambi za walimwengu kwa kuchochea mema kwenye jamii .
View attachment 2838948View attachment 2838949
Aiseeee.Tangu nisome ile comment yako kwenye ule UZI WA KIMASKHARA, akili yangu imevurugwa natamani nionje tamu.
DINGI LA MISHEAiseeee.
Imewasadia kujua kuwa upinzani si wenzao!Hii comment Yako kwani imewasaidia nini hao wananchi wa huko bombani?
Dada zangu Staha ndio kila kitu,sasa hapa angepandaje na kile kituko chake kinacho jichetua mitandaoni. Yaani unamuona hata Sugu yupo comfortable na mke wake.Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Nchi mbalimbali (kimataifa) , Bilionea Joseph Mbilinyi, leo ameshiriki ibada Maalum ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa katika Parokia ya Ruanda Jijini Mbeya .
Mbali na yeye mwenyewe kuchangia kitita kizito kitakachosogeza mbele Ujenzi wa Parokia hiyo , amewahamasisha Matajiri wenzake wa Mbeya na Kwingineko kujitokeza kuchangia ujenzi wa Nyumba za Mungu kwa lengo la kuchota baraka, ambako amedai wingi wa nyumba za ibada utapunguza dhambi za walimwengu kwa kuchochea mema kwenye jamii .
View attachment 2838948View attachment 2838949
๐๐๐๐Dada zangu Staha ndio kila kitu,sasa hapa angepandaje na kile kituko chake kinacho jichetua mitandaoni. Yaani unamuona hata Sugu yupo comfortable na mke wake.
Hana lolote huyo Happy mnafiki tu ananyanyasa wafanyakazi sana anajikuta nani sijuiDada zangu Staha ndio kila kitu,sasa hapa angepandaje na kile kituko chake kinacho jichetua mitandaoni. Yaani unamuona hata Sugu yupo comfortable na mke wake.
Jikite kwenye madaHana lolote huyo Happy mnafiki tu ananyanyasa wafanyakazi sana anajikuta nani sijui
Sawa ila kama anafanya anavifanya nyuma ya Camera, hivi Assume angekuwa na kile kituko kilicho vaa Pampas mbele ya kadamnasi kama hiyo tena kanisani,Sugu wange muonaje.Hana lolote huyo Happy mnafiki tu ananyanyasa wafanyakazi sana anajikuta nani sijui
Mtoto wake yupi? Watoto wa sugu si bado ni wadogo sana?Mtoto wake fundi gereji anateseka ameshindwa kumsaidia. Sugu ni wa ovyo sana
Kitita kirefu kuzidi yale mamilioni yaliyotolewa na chadema kule ManyaraAmechangia kiasi gani?
Kiasi gani?