Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
😄😄😄Nimekwambia weka hicho kiasi cha hicho unachoita kitita. Nani asiye mfahamu sugu kwa ubahili wa kikinga? Wewe weka hicho kiasi ili watu wajionee na mimi nionekane naongea uongo kumsingizia sugu kuwa ni bahili. Alishindwa kuchangia pesa kwa ajili ya walau kupata kiwanja cha kujenga ofisi za chama ndio aje leo atoe kitita kanisani? Labda siyo huyu sugu ambaye watu wanamfahamu kwa ubahilimaada ni kuchangia ujenzi wa kanisa , Nyie endeleeni na ushirikina wa kutembea na Majeneza
Ukitaka kumshinda chukua fomu na wewe ugombee , nafasi hizi ni kwa kila mmojaKwa kweli bado anandoto za kugombea tena Ubunge,yaani inamaana hakuna watu wengine kwamba kila mara ni wao tu...Wajikite kwenye shghuli nyingine na wangene waingie huko Bungeni na mawazo Mapya.
Achangie Sugu mimi nikuwekee kiasi , wewe kama nani ?😄😄😄Nimekwambia weka hicho kiasi cha hicho unachoita kitita. Nani asiye mfahamu sugu kwa ubahili wa kikinga? Wewe weka hicho kiasi ili watu wajionee na mimi nionekane naongea uongo kumsingizia sugu kuwa ni bahili. Alishindwa kuchangia pesa kwa ajili ya walau kupata kiwanja cha kujenga ofisi za chama ndio aje leo atoe kitita kanisani? Labda siyo huyu sugu ambaye watu wanamfahamu kwa ubahili
Sasa umeleta habari za sugu kama nani????? Najuwa kwanini hutaki kuweka hicho kiasi maana unajuwa ni pesa mbuzi tu.ndio maana kwa tunao mfahamu sugu tumecheka tu maana tunajuwa sugu hana ubavu wa kutoa kitita kwa kuwa ni bonge moja la bahiliii.Achangie Sugu mimi nikuwekee kiasi , wewe kama nani ?
Mkuu usishindane na sisi wenye hela utaumia , Muulize Makonda
Hakuna tajiri ChawaChawa wa Sugu
Tangu nisome ile comment yako kwenye ule UZI WA KIMASKHARA, akili yangu imevurugwa natamani nionje tamu.
Usikute ndio Erythrocyte mwenyewe huyo.Huyo mke wake hapo ana roho mbaya sana sidhani kama anaweza kumkubali huyo mtoto . Happy ana roho mbaya mno na ni mnafiki sana.
Afu mtu aje aniambie Eti Takwimu zile za Tanzania kuongoza kwa watu wenye Matatizo ya Afya Ya akili zilikuwa ni za Uongo....Sugu anayejulikana na wana Mbeya kwa ubahili wake mkubwa wa kikinga hawezi kuchangia kitita zaidi ya kutoa vipesa mbuzi. Kama nasema uongo embu weka kiasi alichotoa. Pia napenda kukwaambia kuwa jimbo la Mbeya ni la Dr Tulia ambaye amepewa hati miliki na wana Mbeya. Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kumpa kura ya ndio Sugu
Jamaa anamtifua demu kinyeo kwenye basiii safariniIpoje asee.
Rushwa Kanisani ! nakuhakikishia laana ya Mungu haikuachiYeye atoe rushwaa..lakini akishindwa kwenye ubunge, hatutaki kusikia mtu kaanguka na presha.
Sugu ana mtoto wa nje zaidi ya Sasha? Nadhani Sasha ndio first bornMtoto wake fundi gereji anateseka ameshindwa kumsaidia. Sugu ni wa ovyo sana
Usihangaike na WajingaSugu ana mtoto wa nje zaidi ya Sasha? Nadhani Sasha ndio first born
Jamaa amevaa shati kama langu.. 😄Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Nchi mbalimbali (kimataifa) , Bilionea Joseph Mbilinyi, leo ameshiriki ibada Maalum ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa katika Parokia ya Ruanda Jijini Mbeya .
Mbali na yeye mwenyewe kuchangia kitita kizito kitakachosogeza mbele Ujenzi wa Parokia hiyo , amewahamasisha Matajiri wenzake wa Mbeya na Kwingineko kujitokeza kuchangia ujenzi wa Nyumba za Mungu kwa lengo la kuchota baraka, ambako amedai wingi wa nyumba za ibada utapunguza dhambi za walimwengu kwa kuchochea mema kwenye jamii .
View attachment 2838948View attachment 2838949
Wacha weeee !! nani kamuiga mwenzie ?Jamaa amevaa shati kama langu.. 😄
Kwa kweli bado anandoto za kugombea tena Ubunge,yaani inamaana hakuna watu wengine kwamba kila mara ni wao tu...Wajikite kwenye shghuli nyingine na wangene waingie huko Bungeni na mawazo Mapya.
Duuuuh....! Unasaka uteuzi kwa nguvu. Hivi Ni MADARAKA tu au njaa inachangia??Sugu anayejulikana na wana Mbeya kwa ubahili wake mkubwa wa kikinga hawezi kuchangia kitita zaidi ya kutoa vipesa mbuzi. Kama nasema uongo embu weka kiasi alichotoa. Pia napenda kukwaambia kuwa jimbo la Mbeya ni la Dr Tulia ambaye amepewa hati miliki na wana Mbeya. Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kumpa kura ya ndio Sugu
Hapana sina njaa na wala sisaki uteuziDuuuuh....! Unasaka uteuzi kwa nguvu. Hivi Ni MADARAKA tu au njaa inachangia??
Basi utakua na tatizo sio Bure, ila hapana, Kati ya njaa au teuzi, hayo mawili mojawapo linakutesa Sana, ushambulie upinzani na usifie kijani. Hayo ndo unayaweza tuHapana sina njaa na wala sisaki uteuzi