Joseph Mbilinyi (Sugu) apanda Mazabauni kushiriki Ibada ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa, Achangia hela ndefu

Lucas Samia katika ubora wake.
 
Sugu huyu huyu ambae hata pledge yake kwa Prof J foundation hatujaisikia😁😁😁 jamaa anapenda kujisifia sana kila afanyalo hata liwe dogo anakuja humu JF kujifagilia

Acha watu waanzishe Uzi kwa ajili yako na sio wewe mwenyewe kuja kujisifia humu
 
Huwa unakurupuka sana! Aliyekwambia kuwa sugu ni mkinga ni nani!?
 
sasa kinachokuliza nini ?
 
Ukitaka kumshinda chujua fomu na wewe ugombee , nafasi hizi ni kwa kila mmoja
Mwambie atulie kashindwa kuwaletea Maendeleo wana Mbeya Mjini,Kaja na yule Bibi pale kwenye Chama nae kashindwa kuleta Maendeleo...Ukienda Mbeya wakati wa hasubuhi ni Foleni ya kufa Mtu kuanzia pale mwanjelwa Folen ya kufa mtu....Jioni nako ndo husiseme.
 
Madhabauni =Γ— Madhabahuni =v
 
Nyumba ya baba yangu(madhabahu, kanisa, sinagogi).... Mmeigeuza kuwa pango la walanguzi! (Wanasiasa)

Kwenye msaada halisi na wa dhati... Kuna ulazima Gani wa ma -camera!?
 
Halafu nahisi huu uzi kauleta mwenyewe ukisoma caption zake unagundua mara moja πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…