Joseph Mbilinyi (Sugu) apanda Mazabauni kushiriki Ibada ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa, Achangia hela ndefu

Mkuu wangu, mbona unampa sifa kedekede sugu? Ni yule sugu niliyemfahamu kama 2proud enzi zile za kuibuka bongofleva?
 
Mbeya inahitaji viongozi wenye maono na akili kubwa, kwa ambaye hajawahi fika Mbeya anaweza dhani ni paradiso.

Jiji halina miundombinu ya kueleweka,foleni ndefu,umeme kukatika hovyo hovyo e t.c
Ndg zangu punguzeni ujuaji,unafiki na uchawi ili mji wenu usonge mbele.
 
Hicho kitita kizito ni Tsh ngapi, isijekuwa laki 5 ndio ukaita kitita kizito πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dada zangu Staha ndio kila kitu,sasa hapa angepandaje na kile kituko chake kinacho jichetua mitandaoni. Yaani unamuona hata Sugu yupo comfortable na mke wake.
 
Dada zangu Staha ndio kila kitu,sasa hapa angepandaje na kile kituko chake kinacho jichetua mitandaoni. Yaani unamuona hata Sugu yupo comfortable na mke wake.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Dada zangu Staha ndio kila kitu,sasa hapa angepandaje na kile kituko chake kinacho jichetua mitandaoni. Yaani unamuona hata Sugu yupo comfortable na mke wake.
Hana lolote huyo Happy mnafiki tu ananyanyasa wafanyakazi sana anajikuta nani sijui
 
Hana lolote huyo Happy mnafiki tu ananyanyasa wafanyakazi sana anajikuta nani sijui
Sawa ila kama anafanya anavifanya nyuma ya Camera, hivi Assume angekuwa na kile kituko kilicho vaa Pampas mbele ya kadamnasi kama hiyo tena kanisani,Sugu wange muonaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…