Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nccr wameshaapoteza wanachama 1000 kwa upuuzi wa huyu 30
Vuguvugu la kweli la mageuzi limeanza kufukuta.
hakuna bandari inayouzwa
Uwe na akili kidogo basi wapiserekali inauza ardhi mkataba unasema wanakodisho
Yaani mkiti wa jimbo hawezi kufanya mkutano Hadi kibari kitoke makao makuu??? Nccr mageuzi kwisha hbr yenu
Weeee nawe ficha ujinga wako..anaye was akataa ni chadema??? Mbona unawaza kutumia makalio?Ha [emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Ati Mwabukusi ni NCCR-Mageuzi.
CHADEMA bana.
Hii ni mpya, na kali.
Kama kuna Chama kinachojishaua na kugeuza geuza taswira ni CHADEMA.
Tumia kichwa kwenye kufikiri....usitumie chujioHa [emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Ati Mwabukusi ni NCCR-Mageuzi.
CHADEMA bana.
Hii ni mpya, na kali.
Kama kuna Chama kinachojishaua na kugeuza geuza taswira ni CHADEMA.
Huyu jamaa bana, kipindi hicho ka kijana kalikua very objective. Nakumbuka kipindi cha Kampeni za ubunge wa Jimbo la Temeke amnapo yeye ndiye aliteuliwa na NCCR kuwa Mwenyekiti wa Kampeni.
Huna hoja.Tumia kichwa kwenye kufikiri....usitumie chujio
Ni mpuuzi na mpumbavu tu ndie anaetaka kuaminisha umma kuwa mwanadamu huwa anauwezo kufikiri kwa kutumia makalio.Weeee nawe ficha ujinga wako..anaye was akataa ni chadema??? Mbona unawaza kutumia makalio?
Slaa na akili yake yote anaambatana na huyu nvuta bangi!View attachment 2776940
Who is Joseph Selasini?
Bob Marley pia walikuwa wakimuita hivyo hivyo.Slaa na akili yake yote anaambatana na huyu nvuta bangi!
Akapokelewa na yule RC Mbeya akajiona ni mtu katika watuAliingizwa Mjini na yule Mchato?😆