bruno castol
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 1,046
- 661
Gwajima unauza poda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gwajima unauza poda
Ha ha ha,Uza na wewe
Gwajima tatizo bangi zinamsumbua...
Emanuel Mbasha uko wapi!!
Gwajima unauza poda
Ningekua hapo bongo ningeifanya hii personal project kwa kuhudhuria pale ili kuanalyse ni kweli hii mambo ama ni magumashi.
umetoa reasoning ambayo inafikirisha japo capacity ya uwanja bado haikubaliani.
halafu kama watapatikana sema watu 2000,wakatoa elfu kumikumi.
na watu 3000 wakatoa elfu tanotano.
bado hesabu inakataa kufikisha hiyo milioni 70 achilimbali milioni 700.
hapa wakuu ametudanganya.
Gwajima tatizo bangi zinamsumbua...
katika hili umekosa adabu .
Hivi ni lazima kutetemeka wakati unaandika mada yako??? Nia yako ni Ubishi au ni kusisitiza nini?? Maana inakuwa kama unataka kununua ugomvi wa Gwajima na Polisi?? Na unavyojibu ni kama wewe ndio polisi au serikali??
Mkuu samahani lakin...mm namjua in and out...fuatilia story yake wakati yupo kijana mkuu
Hivi uwezi kutoa mchango bila kumtukana mtu
Tanzania National Main Stadium is a multi-purpose stadium in Dar es Salaam, Tanzania. It opened in 2007 and was built adjacent to Uhuru Stadium, the former national stadium. It hosts major football matches such as the Tanzanian Premier League and home matches of the Tanzania national football team.
With 60,000 seats it is the eleventh largest stadium in Africa and the largest stadium in Tanzania.
It is owned by the Tanzanian Government. The stadium was built by Beijing Construction Engineering Group at a cost of $56 million.
Source: Wikipedia
My Take
Itabidi "askofu" Gwajima atueleze hao waumini waliwaweka wapi pale Tanganyika Packers ilhali hakuna nafasi ya kuwaweka hata watu 5,000.
Njia ya mtu mwizi, mwongo na laghai ni fupi.
Sasa anavunja amri ya saba kushuhudia uongo.
Dah! Rais wetu naye sijui atamkemea!(atamtukana)