Josephat Gwajima akana utajiri wake

Josephat Gwajima akana utajiri wake

Gwajima ;JK wakemee polisi wanaoniandama
Asema asipofanya hivyo ndiye aliyewatuma hao
Aeleza chanzo cha utajiri wake
Waumini wamchangia mamilioni papo hapo.sasa kama ana ushahidi na nyaraka za mali zake hofu yake nini .
 
Ningekua hapo bongo ningeifanya hii personal project kwa kuhudhuria pale ili kuanalyse ni kweli hii mambo ama ni magumashi.
umetoa reasoning ambayo inafikirisha japo capacity ya uwanja bado haikubaliani.
halafu kama watapatikana sema watu 2000,wakatoa elfu kumikumi.
na watu 3000 wakatoa elfu tanotano.
bado hesabu inakataa kufikisha hiyo milioni 70 achilimbali milioni 700.

hapa wakuu ametudanganya.

Hahaha kanisa lina wachungaji 8,400 hao ni regustered pastors. Hamkuelewa Hesabu ya JG, kwa jumapili moja kuna capacity ya watu at least 30000 na ibada zenye watu wengi hufika 70,000 like mwaka mpya lakini ujue kuna ibada nne kwa wiki so piga hesabu ya mahudhurio weekly kwa ibada zote nne.

Na ibada zote watoe sadaka ya average 1000, hapi tuna realise wanaotoa 10,000 na wengine zaidi. U can imagine kiasi gani kanisa linapata. Pili, helcopta ni mali ya kanisa ambayo ni organisation sio mtu binafsi, na organization imesajiriwa mwaka 1997. U can imagine kuwa R44 ya $700 itashindwa kununua. Hii ni kuwaza kwa kutumia kitu kingine na si akili.
 
Hivi ni lazima kutetemeka wakati unaandika mada yako??? Nia yako ni Ubishi au ni kusisitiza nini?? Maana inakuwa kama unataka kununua ugomvi wa Gwajima na Polisi?? Na unavyojibu ni kama wewe ndio polisi au serikali??

Kwanini wewe ni nani hata unipangie cha kuandika....??
 
Mkuu samahani lakin...mm namjua in and out...fuatilia story yake wakati yupo kijana mkuu

sawa hata unamjua huwezi kumwita mtumishi wa Mungu ni mvuta bangi.
 
Tanzania National Main Stadium is a multi-purpose stadium in Dar es Salaam, Tanzania. It opened in 2007 and was built adjacent to Uhuru Stadium, the former national stadium. It hosts major football matches such as the Tanzanian Premier League and home matches of the Tanzania national football team.
With 60,000 seats it is the eleventh largest stadium in Africa and the largest stadium in Tanzania.
It is owned by the Tanzanian Government. The stadium was built by Beijing Construction Engineering Group at a cost of $56 million.
Source: Wikipedia

My Take
Itabidi "askofu" Gwajima atueleze hao waumini waliwaweka wapi pale Tanganyika Packers ilhali hakuna nafasi ya kuwaweka hata watu 5,000.
Njia ya mtu mwizi, mwongo na laghai ni fupi.
Sasa anavunja amri ya saba kushuhudia uongo.

yako mangapi nchi....
 
Back
Top Bottom