Empedocles
Senior Member
- Sep 11, 2024
- 151
- 192
Ausujudiaye utukufu wa mazimwi lazima naye pia ni zimwi.Kukerwa ni usaliti na hivyo ushauri wa mleta mada umeshiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu, huyu kk ni mpenda haki, na msema ukweli, ajiunge na chademaNinavyojua Mimi Gwajima yupo ccm sio Kwa sababu anaipenda hapana ni Kwa sababu alifilisiwa na yule bwana ila yule Gwaji boy ni mpenda haki coz Kwa sababu Tundu lissu yupo na mfumo umeshakubali mtakuja kuniambia
Kwanini Siku hizi Suruali zake zote 'zinampwaya' tu hata akizivalia kwa juu kama ''Wakongomani'' akina Bandeko Nangai?
Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku! Leo roho wa Mungu amenisukuma niseme na mtumishi wa Mungu Akofu jophate Gwajima.
Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM.
Na wewe ni msema kweli, kiasili ww hauwezi kukaa meza moja na ccm mkaishi mda mrefu. Tafakari vizuri ujiunge chadema ili uwe huru rohoni, nafsini, na akilini.
Pia soma: Pre GE2025 - Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania
Hatimaye tuijenge nchi yetu pendwa. Najua unayo mengi sana kifuani mwako, juu ya viongozi HAWA wa CCM wanvyotafuna fedha za wananchi. Ila unakosa ujasili wa kusema kwa sbb na ww ni mbunge kupitia ccm, ikikupendeza, bunge likivunjwa nenda chadema. Huduma yako, ushawishi wako, karama yako imeshuka sana tangu ujiunge na ccm na kuwa mbunge.
NB: Au achana na siasa, uwatumikie wananchi kupitia huduma ya kiroho uendelee kusema ukweli.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kibano mkuuKwanini Siku hizi Suruali zake zote 'zinampwaya' tu hata akizivalia kwa juu kama ''Wakongomani'' akina Bandeko Nangai?
Taarifa nyeti zote za wauwaji wanaopanga Kwa chadema Gwaji boy hutoa taarifaSijui mkuu? Labda hana amani? Nafsi inamsuta
Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku! Leo roho wa Mungu amenisukuma niseme na mtumishi wa Mungu Akofu jophate Gwajima.
Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM.
Na wewe ni msema kweli, kiasili ww hauwezi kukaa meza moja na ccm mkaishi mda mrefu. Tafakari vizuri ujiunge chadema ili uwe huru rohoni, nafsini, na akilini.
Pia soma: Pre GE2025 - Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania
Hatimaye tuijenge nchi yetu pendwa. Najua unayo mengi sana kifuani mwako, juu ya viongozi HAWA wa CCM wanvyotafuna fedha za wananchi. Ila unakosa ujasili wa kusema kwa sbb na ww ni mbunge kupitia ccm, ikikupendeza, bunge likivunjwa nenda chadema. Huduma yako, ushawishi wako, karama yako imeshuka sana tangu ujiunge na ccm na kuwa mbunge.
NB: Au achana na siasa, uwatumikie wananchi kupitia huduma ya kiroho uendelee kusema ukweli.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Gwaji sio mwizi hata ila alibanwa mbavu now yupo huruHaliwezi pokelewa Chadema hili linafiki liizi la kura
Mtanganyika na mpenda HAKI yoyote yule hawezi kuishi CCM, na kama akiishi basi ataishi kwa maumivu makali sana rohoni kwake ambayo hayavumiliki.Huyu ni mpenda haki kweli mkuu
Gwaji sio mwizi hata ila alibanwa mbavu now yupo huru