Pre GE2025 Josephat Gwajima karibu CHADEMA tuijenge nchi

Pre GE2025 Josephat Gwajima karibu CHADEMA tuijenge nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. Mpinzani akishinda kiti cha urais Tz aweza kutangazwa??

2. Je kwa Tz imewahi kutokea kuwa na rais ambaye hajapitia nafasi ya waziri ktk wizara zetu?
3. Tz kwenye nafasi ya urais huwa ni Bakwata na Tec, Gwajima ni Mpotestanti je Tec na Bakwata watakubali?
Mkuu hayo mambo kama ni Mungu kaamu wala si kitu
 
Je ni huyu?
Screenshot_20250208-222619~2.png
 

Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku! Leo roho wa Mungu amenisukuma niseme na mtumishi wa Mungu Akofu jophate Gwajima.

Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM.

Na wewe ni msema kweli, kiasili ww hauwezi kukaa meza moja na ccm mkaishi mda mrefu. Tafakari vizuri ujiunge chadema ili uwe huru rohoni, nafsini, na akilini.

Pia soma: Pre GE2025 - Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania

Hatimaye tuijenge nchi yetu pendwa. Najua unayo mengi sana kifuani mwako, juu ya viongozi HAWA wa CCM wanvyotafuna fedha za wananchi. Ila unakosa ujasili wa kusema kwa sbb na ww ni mbunge kupitia ccm, ikikupendeza, bunge likivunjwa nenda chadema. Huduma yako, ushawishi wako, karama yako imeshuka sana tangu ujiunge na ccm na kuwa mbunge.

NB: Au achana na siasa, uwatumikie wananchi kupitia huduma ya kiroho uendelee kusema ukweli.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Acha tabia mbaya ya kutaka kuwatafsiri vema watu , wakati kiuhalisia hawako hivyo. Kwa Nini unamsemea Gwajima? Kama yeye Yuko huko na hajasema hapafai, wewe ni nani unamsemea kuwa hapamfai. Don't put words in his mouth. Wewe siyo yeye. Msiwape watu picha za uzuri wakati huo uzuri siye hatuuoni
 
Akiingia chadema anaweza kuchukua tena jimbo la Kawe,Halima Mdee sasa hivi hata akisimama kupitia CCM kura 100 hapati
 

Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku! Leo roho wa Mungu amenisukuma niseme na mtumishi wa Mungu Akofu jophate Gwajima.

Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM.

Na wewe ni msema kweli, kiasili ww hauwezi kukaa meza moja na ccm mkaishi mda mrefu. Tafakari vizuri ujiunge chadema ili uwe huru rohoni, nafsini, na akilini.

Pia soma: Pre GE2025 - Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania

Hatimaye tuijenge nchi yetu pendwa. Najua unayo mengi sana kifuani mwako, juu ya viongozi HAWA wa CCM wanvyotafuna fedha za wananchi. Ila unakosa ujasili wa kusema kwa sbb na ww ni mbunge kupitia ccm, ikikupendeza, bunge likivunjwa nenda chadema. Huduma yako, ushawishi wako, karama yako imeshuka sana tangu ujiunge na ccm na kuwa mbunge.

NB: Au achana na siasa, uwatumikie wananchi kupitia huduma ya kiroho uendelee kusema ukweli.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
ushauri wa kisiasa uliojikatia tamaa mapemaaaa! dah 🐒
 
Siasa za nchi masikini ni unafiki mtupu
Mtu huwezi kuwa muadilifu halafu ukawa mnafiki kwa wakati mmoja
Haya yanatokea Africa tu
Mcha Mungu na siasa wapi na wapi
Mnajua wazi kuwa siasa ni uongo tu sasa utamuogopa Mungu kivipi?
Tuache utani jamani
Kama alikubali kwenda huku mwacheni alikuwa na akili zake alipokubali
Ila wazalendo hakuna
 
Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM.
Kwamba yeye siyo muovu?
Huyu si tunaambiwa anafufua waliokufa, mbona hakumfufua shujaa wa watu?
Huyu pia ni muovu aliyetajirika kwa hela za masikini.
Hana sifa yoyote kuongoza Tanzania
 
Siasa za nchi masikini ni unafiki mtupu
Mtu huwezi kuwa muadilifu halafu ukawa mnafiki kwa wakati mmoja
Haya yanatokea Africa tu
Mcha Mungu na siasa wapi na wapi
Mnajua wazi kuwa siasa ni uongo tu sasa utamuogopa Mungu kivipi?
Tuache utani jamani
Kama alikubali kwenda huku mwacheni alikuwa na akili zake alipokubali
Ila wazalendo hakuna
Kumcha Mungu hakukuzuii kuwa mwanasiasa, na wala haondoi ukristo wako
 
Kwamba yeye siyo muovu?
Huyu si tunaambiwa anafufua waliokufa, mbona hakumfufua shujaa wa watu?
Huyu pia ni muovu aliyetajirika kwa hela za masikini.
Hana sifa yoyote kuongoza Tanzania
Bro kila mtu ni mwoovu ,ila tumetafutiana viwango vya uovu.
 
Siasa za nchi masikini ni unafiki mtupu
Mtu huwezi kuwa muadilifu halafu ukawa mnafiki kwa wakati mmoja
Haya yanatokea Africa tu
Mcha Mungu na siasa wapi na wapi
Mnajua wazi kuwa siasa ni uongo tu sasa utamuogopa Mungu kivipi?
Tuache utani jamani
Kama alikubali kwenda huku mwacheni alikuwa na akili zake alipokubali
Ila wazalendo hakuna
Shida ni uwadilfu hamna mkuu, kufanya siasa sio dhambi,
 
Acha tabia mbaya ya kutaka kuwatafsiri vema watu , wakati kiuhalisia hawako hivyo. Kwa Nini unamsemea Gwajima? Kama yeye Yuko huko na hajasema hapafai, wewe ni nani unamsemea kuwa hapamfai. Don't put words in his mouth. Wewe siyo yeye. Msiwape watu picha za uzuri wakati huo uzuri siye hatuuoni
Foreshadowing mkuu
 
Back
Top Bottom