Josephine Mshumbusi ajifungua

wanamagwanda bwana, wameshasahau mambo ya Arusha!


Acha ukuda wewe, hata ukiwa na machungu vp ukipata kitu kizuri au taarifa nzuri kama hizi unasahau shida zote au machungu kwa muda. Hongera sana DR.Slaa na first lady wetu kwa kupata shujaa mpya.
 
sitaki nionekane mdini lakini hilo jina ni la kiislam na slaa ni mkristo..labda majina hayamaanishi kitu.(correct me if iam wrong)
Kwahiyo Ibrahim aliyemzaa Isaka aliyemzaa Yakobo (Israel) alikuwa mwislam?
 
ilo jina la kikisto bwana mbona mi milisoma seminari na mtu anayeitwa Ibrahim
Nadhani kwa Wafuasi wa YESU wa Nazareth aliye Hai, wanatumia jina la ABRAHAM badala ya IBRAHIM.
 
hongera Josephine....ni kila ndoto ya mwanamke kuitwa mama siku moja
 

Why not Nyerere/ Mandela/ Mahlangu (Solomon). Hongera Dr wa ukweli na Mama Dr.
 
Ibrahim ni jina la kikristo na cc kama wakristo huwa naamini ni kuwa Ibrahim ni baba wa imani lakini mimi naona aitwe Emmanuel yaani mkombozi wetu

Kila kitu udini tuuuuuu, inaudhi. Nani kawaambia kuna majina ya Kiislam na Kikristo. Hapa kuna majina ya Kimagharibi yaani Ulaya na ambayo yana asili yake eg. Kefa, Peter - jiwe dogo. Emmanuel - Mungu pamoja nasi etc. Pia kuna majina ya kimashariki yaani Abdalah, Mula etc. Yapo pia majina ya kwetu, yaani Manyanya, Kilango, Nyerere, Gologosi etc.

Kwa sababu ya ushabiki wa kutokuchukuja mambo kama ilivyo kwa kuishabikia CCM kwa kuwa tu imedumisha Amani ya Bandia, ndivyo hivyo ukisikia jina Yesu uchukulia kuwa na jina la kikristo, au Mohammed ni jina la kiislamu.
 
Very good ametimiza malengo ya millennia uzazi salama tunasubiri Mzee Slaa utakapo tubu na kuhararisha ndoa. Itakuwa sherehe ya kitaifa ili mtoto asikue nje ya ndoa. Naamini Bwana Mushumbusi hata sumbua tena...
 
piga ua narudia kazaa mjukuu. Ingelikuwa hana watoto nisingetia neno bali hongera. Inauma sana kwa mtu mzima wa makamo hayo aanze kupigiwa kelele za kitoto usiku kucha. Huu ni mda wake wa kupumzika si kuhangaikia vitoto. Kumpongeza kwa jambo hili hakuna tofauti na kukubaliana na maovu mengi yanayofanywa na serikali. Tunam-support kwa kuwa ni kiongozi wa chama pendwa. Wa wapi wataalamu wa sayansi ya binadamu watuele madhara ya mtu kuzaliwa na mzazi mwenye umri mkubwa kama wa Dr. 63 yrs! MY GRANDFATHER!!
 
Naungana na wote wanaotoa pongezi kwa kuzaliwa mtoto mwanaume katika familia ya Dr Slaa na Josephine.

Baraka zote hutoka kwa Bwana, lakini maombi hutoka kwa watu. Mimi ninamwombea baraka mtoto huyo kwa jina lake.

Jina la mtoto litatoka kwa wazazi wake.

Bwana amlinde mtoto akue, awe na afya tele, awe raia mwema na mzalendo kwa taifa lake, na mwisho akue akimpendeza Mungu na wanadamu. Amin
 
Kwa mujibu wa mila za Wahaya, ukiachana na mumeo mtoto wa kwanza utakayemzaa; hata kama umepita muda mrefu, anazaliwa kwa mumeo wa zamani; hii mila hufuatiliwa sana huko Bukoba na wengine hata kupelekana mbele ya sheria, mara zote mtoto huishia kwenda kwa mume wa kwanza.

Wahaya huamini kwamba, ukiachana na mumeo, kama una mimba basi haikui inakaa mgongoni hadi upate mume mwingine ndipo inaamka. Sheria zetu zinatambua mila hii na wanaume wajanja wamekuwa wakizitumia kuwakomoa wale wanaowaoa watalaka wao.
 
Acha wivu wa kitoto
Jaman watu maaruf wakizaliwa mtajua tu!Hebu fikir leo wamezaliwa wangap?Huyu amekuwa gumzo.hiz ni ishara za nyota njema nafikir hata ingekuwa kiangaz mvua ingenyesha.Hongeren sana mr. & mrs.Slaa.Wenye wivu jinyongen kwan mtachonga sana ila Ndo hivyo mtu maaruf kazaliwa.hebu nanyie zaen muone kama kuna atakayesema.
 
Mkuu, vipi wewe ikitokea kwa mfano John Komba, kampa mimba mke wako wewe utajiskiaje?
Mwache kwanza mkeo alafu akiwa na mahusiano na mwingine uhoji.mbona hata maumbile yatamlazimu kuwa na mahusiano tu na akipenda azae.tuache kuingilia mambo ya watu ya ndani.
 
kwel binadam sis wanafik .Tukubal wamefanya dhambi.unaanza kuwahukumu kwamba hawasamehewi,wewe je huna dhambi?nafiki umekata tama kuwa husamehewi hadi unamsemea mungu.toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo utaona kibanzin kwenye jicho la mwenzako.
 
Ingekuwa Marekani, slaa angekuwa ameshafilisika kisiasa ila kwa kuwa bongo hamjali personal issues basi ndo twasema hewala
Huko marekan wanakojal personal issues wanachekesha maana kutembea uchi si tatizo.Great thinkers bwana wananikosha kweli kweli
 
nyie magamba mbona mmejazana humu ndani kwenye hii thread? Nape ndio kawatuma kuja huku kuandika pumba? nendeni kue kwenye thread za mgao wa umeme mkaitetee serikali yeni hukoo na na raisi wenu sio mnajazana jazana hapa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…