Josephine Mushumbuzi amfikisha kortini mumewe Mahimbo kudai talaka

Josephine Mushumbuzi amfikisha kortini mumewe Mahimbo kudai talaka

Dhana nzima ya mtu na akili zake "kuibiwa" ni tete, lakini kisheria Josephine hadi leo hii ni mke wa mtu mwengine, hilo lipo wazi

Sasa mwalimu, nataka tuzungumze hapa bila ushabiki ili kuelimishana na kusaidiana kwakuwa mambo haya yanatokea kila siku.

Ikiwa Josephine anatambua kwamba aliwahi kuolewa na mwanaume mwingine lakini kutokana na sababu ambazo sisi hatuzijui tukaja kumkuta anaishi na Dr. Slaa, kwanini lawama anabebeshwa mtu mmoja tu hapa? mbona hatujipi jukumu la kutaka kujua kilichomtoa kwa mahimbo ili tuwe fair kwa watu wote watatu?
 
Sasa mwalimu, nataka tuzungumze hapa bila ushabiki ili kuelimishana na kusaidiana kwakuwa mambo haya yanatokea kila siku.

Ikiwa Josephine anatambua kwamba aliwahi kuolewa na mwanaume mwingine lakini kutokana na sababu ambazo sisi hatuzijui tukaja kumkuta anaishi na Dr. Slaa, kwanini lawama anabebeshwa mtu mmoja tu hapa? mbona hatujipi jukumu la kutaka kujua kilichomtoa kwa mahimbo ili tuwe fair kwa watu wote watatu?

Nani kabebeshwa lawama? Wapi? Hakuna anaekataza mwengine kushusha elimu hiyo mkuu, we lete watu watachangia
 
Halistahili kuulizwa na mwanamme kwa sababu gani? Hebu maelezo kidogo

Kwa mwanaume aliyetimiza vigezo vya kuitwa hivyo, kama nilivyokuwa nikidhani ndivyo alivyo WC, hastahili kuuliza swali kama hilo kwakuwa majibu yake yako so obvious!!
 
Sasa mwalimu, nataka tuzungumze hapa bila ushabiki ili kuelimishana na kusaidiana kwakuwa mambo haya yanatokea kila siku.

Ikiwa Josephine anatambua kwamba aliwahi kuolewa na mwanaume mwingine lakini kutokana na sababu ambazo sisi hatuzijui tukaja kumkuta anaishi na Dr. Slaa, kwanini lawama anabebeshwa mtu mmoja tu hapa? mbona hatujipi jukumu la kutaka kujua kilichomtoa kwa mahimbo ili tuwe fair kwa watu wote watatu?
Dr Slaa pamoja na kusoma canon law na sheria zingine na kuwa Padre kwa miaka mingi tu akifungisha NDOA, akisuluhisha ndoa, bado akanasa namna hii?
 
Kwa mwanaume aliyetimiza vigezo vya kuitwa hivyo, kama nilivyokuwa nikidhani ndivyo alivyo WC, hastahili kuuliza swali kama hilo kwakuwa majibu yake yako so obvious!!

Hahaha jibu lake angekuwa FaizaFoxy yupo angelitaja wazi hapa bila ya chenga. Angesema kilichomsukuma Dr.Slaa huko
 
Kwa mwanaume aliyetimiza vigezo vya kuitwa hivyo, kama nilivyokuwa nikidhani ndivyo alivyo WC, hastahili kuuliza swali kama hilo kwakuwa majibu yake yako so obvious!!
Ulinisoma kwa jazba na munkar. Nisome tena.
 
Nani kabebeshwa lawama? Wapi? Hakuna anaekataza mwengine kushusha elimu hiyo mkuu, we lete watu watachangia

Mwalimu u cant be serious on this. Kwamba hujui mashambulizi na lawama zinaelekezwa kwa nani?

Suala la elimu ndilo na mimi nataka, na ili ipatikane inabidi tujue toka pande zote zinazohusika kuliko hivi tunavyoshabikia vitu tusivyokuwa na uhakika navyo.
 
Poor minded only can discuss this foolish thread.
 
Mwalimu u cant be serious on this. Kwamba hujui mashambulizi na lawama zinaelekezwa kwa nani?

Suala la elimu ndilo na mimi nataka, na ili ipatikane inabidi tujue toka pande zote zinazohusika kuliko hivi tunavyoshabikia vitu tusivyokuwa na uhakika navyo.


Simjui anaebebeshwa lawama japokuwa ninamjua anaetajwa sana na suala hili.

Elimu tunaitaka, lakini kama hatujapewa, tutaendelea na speculations kwa sababu hiyo ndo hulka yetu wanaadamu
 
Mkali huyo! Si unawafahamu akina Mwita, Chacha, Marwa, Robi, Ghati, Bhoke,...

Hakuna cha ukali hapo, ni suala la kupima na kujiridhisha na aina ya maswali unayouliza yaendane na jinsi yako!! Kuna maswali mengine mwanaume huwezi kuuliza mkuu.

Dr Slaa pamoja na kusoma canon law na sheria zingine na kuwa Padre kwa miaka mingi tu akifungisha NDOA, akisuluhisha ndoa, bado akanasa namna hii?

Nadhani unatakiwa kujifunza zaidi utaratibu na kanuni za kanisa katoliki juu ya sakramenti ya upadrisho. Vinginevyo tutabakia kufurahia kwa sababu ya ushabiki na chuki zetu dhidi ya watu fulani tu.

Ulinisoma kwa jazba na munkar. Nisome tena.

Sijakusoma kwa jazba wala munkari mkuu, huo ndio ukweli wenyewe. Na usisahau kwamba wewe ni "kijeba" hapa JF tunakusoma mara nyingi sana mkuu.
 
nimemwona yule mushumbusi kakaa kishamba shamba sana na yeye'halafu anaabudu ulevi sana ndio maana mwanamke kamwacha
 
Hahaha jibu lake angekuwa FaizaFoxy yupo angelitaja wazi hapa bila ya chenga. Angesema kilichomsukuma Dr.Slaa huko

Mwalimu kwahiyo unashauri FF aitwe hapa atueleze kilichojiri, ama unataka kusemaje hapo?
 
nimemwona yule mushumbusi kakaa kishamba shamba sana na yeye'halafu anaabudu ulevi sana ndio maana mwanamke kamwacha

Mkuu hapa unamzungumzia mushumbusi yupi aliyeachwa na mwanamke in relation to this thread?
 
Mwalimu u cant be serious on this. Kwamba hujui mashambulizi na lawama zinaelekezwa kwa nani?

Suala la elimu ndilo na mimi nataka, na ili ipatikane inabidi tujue toka pande zote zinazohusika kuliko hivi tunavyoshabikia vitu tusivyokuwa na uhakika navyo.
Mbona haya ni mashambulizi ya kujitakia tu! Kwa UMRI na HADHI yake kwa WATANZANIA, Dr Slaa anapaswa kuwa kioo chetu sote. Awe makini tu na hawa akina mama. Wamewaangusha wengi.
 
Tukubali jambo moja tu hapa. Kiasi flani Dr Slaa ni kiwete kwa mambo haya.

Hii ni dhana tu ambayo mnapenda kuishabikia sana wale msiokubaliana nae katika masuala ya kisiasa, mnaona kwamba hapa ndipo mahali pekee pa kumnanga, lakini kwakuwa hili si jambo jipya katika jamii ndio maana watu hawachukulii maanani kiviiiile!!
 
Back
Top Bottom