Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
-
- #201
Asante nashukuru Sista... hao watu siwaelewi wana lengo gani haswa, sasa sijui ni kuharibiana majina au ni vipi yaani....Jamaaaniii Jose.... Nafurahi kukuona tena jamaani.... Karibu jukwaani kwa mara ingine
Halafu kuna siku mmoja aliuzwa akadai ni wewe.... Kuna watu wa ajabu sana
Nilikuwa kimya kwa muda wa mwezi mmoja kwa sababu ya harakati za maisha mkuu na kwenye hizo harakati hakukutokea kimojawapo kati ya hivyo wanavyonizushia ndio maana nimetoa ufafanuzi wote hapaWashabiki wako wangependa kujua mbona ulikuwa kimya maana katika makala yako hujajibu swali bali umekanusha tu kwa uliyotabiriwa
Hamna kikubwa kilichonisibu, ni maamuzi binafsi tu niliamua kufanya hivyo ili kuweka mambo mengine ya kikazi sawaJose umekanusha...lakini hujatwambia kilichokusibu mpaka ukapotea
Mwenyeji karudi kwa manjonjoNilikuwa kimya kwa muda wa mwezi mmoja kwa sababu ya harakati za maisha mkuu na kwenye hizo harakati hakukutokea kimojawapo kati ya hivyo wanavyonizushia ndio maana nimetoa ufafanuzi wote hapa
Nilikuwa kimya kwa muda wa mwezi mmoja kwa sababu ya harakati za maisha mkuu na kwenye hizo harakati hakukutokea kimojawapo kati ya hivyo wanavyonizushia ndio maana nimetoa ufafanuzi wote hapa
Mkuu nafahamu hivyo ila ninachoweza kukwambia ni kuwa Taarifa hizo sio rasmi kwa kuwa hazina ukweli wowote, ningekuwa nimetekwa au kimenitokea kitu kibaya nisingesita kutoa taarifa rasmi au mngepata hizo taarifa kwa kuwa kuna members najuana nao nje ya JF...Mwisho kabisa napenda kutoa RAI kwa baadhi ya watu kuwa, mtafute TAARIFA SAHIHI na sio ' Uzushi au taarifa mbaya zenye lengo la kumdhalilisha/kumchafua mtu aonekane mbaya/muongo/mfitini miongoni mwa wanajamii wanaomzunguka.
fafanua zaidi kwamba nani asizushiwe taarifa zisizo rasmi kwa sababu taarifa zisizo rasmi ndio msingi wa JFs ndio maana members wake wanaitwa wapiga filimbi.
mafisadi hayana rangi
Bora umerudi kiongozi, kuna jamaa ana avator kama yako anateremsha matusi kweli kweli nikazani ni wewe mkuu!!Hamna kikubwa kilichonisibu, ni maamuzi binafsi tu niliamua kufanya hivyo ili kuweka mambo mengine ya kikazi sawa
Watu sio wazuri mkuu daaah
Ooooh kumbe, hamna tatizo huo ni mtazamo wakoJeseverest mkuu sioni tofauti yako Deogratius Kisandu
Shukrani mkuu
Karibu tena.
Hahaha sio kupima oil mkuu, ni taarifa za uzushi nilizushiwa tu nazipanguaMukulu naona ulikuwa unapima oil
Effect yako jf!
All in all am glad to see you!
DJ sepetu
Mimi ni mwanachama wa JF..nilizushiwa taarifa ambazo hazina ukweli wowote na baadhi ya members kwa hiyo nazikanushaSamahani, kwani wewe ni nani? I mean umuhimu wako mpaka ujielezee namna hiyo?
[emoji4] [emoji1] poa mzee..pamoja sana
Mhhh Zimbabwe tena?? Hahaha hiyo taarifa niliiona mkuu nikawa nacheka tu.. warudishie rambirambi zao tuAaah mkuu walikua wanasema nimekuteka eti nimekupelekwa zimbabwe walichanga na rambi rambi ninazo hapa[emoji56]
usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau